Habari zenu watumiaji wa JF wenzangu?
Tupeane uzoefu kama ishawahi kukutokea, kwa wale tuliojaliwa kuishi na Mama.
Mama anaomba kurudishiwa gharama zake anazotumia juu yangu, mf: kanitumia kitu niko mbali na home, anadai nimlipe, amenisafirishia vifaa vyangu nilivyoviacha nilikokuwa nikiishi before, anadai nimrudishie alichotumia.
==========================
NOTE: si kuwa hana kazi wala cha kumuingizia kipato.
==========================
Hii imekaaje??? Imewahi kukutokea???
Au kwa kuwa si Mama mzazi???
Je, Mama mzazi anaweza kufanya hivyo???