Niongezee kidogo mkuuHabari wana jamii forum. Naomba kuuliza Je serikali itapandisha vyeo/madaraja kwa wale ambao walipaswa kupanda mwaka jana.
Kwayeyote anayejua anifahamishe.
Asante
Hayo ni majibu sahihi kabisa.Soma threads za nyuma na points zake.
kwa ufupi HAKUNA KUPANDA CHEO MWAKA HUU kwa walio chini ya utumishi wa umma.
Yes, hiyo ndiyo hali halisi, kwa sasa anawahadaa wananchi kwa makinikia feki kwanza watumishi tusubiri chenga nyingine.Hayo ni majibu sahihi kabisa.