Kuhusu huyu Baba Jamani.!

Kuhusu huyu Baba Jamani.!

Mungu na akupe neema na baraka tele
Na kukolezea hapo hapo ndugu si tunaufahamu wote wivu wa mke kwa mumewe ama wivu wa mume kwa mkewe aonapo haki yake ya agano inapelekwa kwingine kusipostahili? Ni kama hivyo , wivu wa haki huo,
 
Tena anasema hivi.."Usijifanyie sanamu kwa ajili yako mwenyewe kwa mfano wowote mbinguni wala duniani au katika chini ya maji. Wala kujiinamisha mbele yao au ibada yao, kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. "
Cc Rc.
Mi usinitaje.
 
Ni hawo ndugu ila mapovu yao sasa, ndio maana nikaomba usinitaje.

Wagalatia

6.1 Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe.

6.2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.

6.3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.

6.4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake.

6.5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom