Mtumishi 19
Member
- Feb 27, 2026
- 15
- 21
Wakuu habari za mda huu.
Hivi Benk zetu wameshindwa kabisa kubuni mfumo wa kutoa huduma kwa uharaka?
Imagine leo nimeenda bank kwa ajili tu huduma za mkononi. Lakini unatumia almost masaa matatu kwa ajili ya huduma hii kweli?
Hivi Benk zetu wameshindwa kabisa kubuni mfumo wa kutoa huduma kwa uharaka?
Imagine leo nimeenda bank kwa ajili tu huduma za mkononi. Lakini unatumia almost masaa matatu kwa ajili ya huduma hii kweli?