Kuhusu Habibu Mchange

 
Tetere Media ni kweli ya mchange na ina produce kipindi cha 5 gears Clouds TV,kweli unamjua Mchange.
 
Kwa pove hili jinsi linavyokutoka ni dhahiri sindano ya Mchange imepenya sawasawa,pole kamanda
 

Tulia wewe bi mkubwa,kama unawashwa jitahidi kuvumilia
 
unafkir chuo ni sawa na msalani??niulize.mm niliyesoma naye live.

alifukuzwa udom kwa sababu ya ukorofi wa kumobilize migomo na ni huyuhuyu aliyepgwa bann na kikula

Tupe ukweli mkuu ili tuongezee nondo zetu
 
Machange akirudi kibaha mjini atawatonesha machungu wana kibaha. Asirudi kwa namna yeyote.
 
Mchange alikuwa kibaraka wa Zitto toka Yupo Udom . Mchange ali Disco Chuo na sio kufukuzwa. Mchine ni Mchumia Tumbo na sijui amekuwaje kampeni manager wa Mgombea urais wa Act
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…