Kuna propaganda zinasambaa kuhusu Elie Mpanzu kuwa amesajiliwa na timu ya Young Africans ya Tanzania kwa msimu wa 2025/2026 akitokea klabu ya AS Vita ya DRC.
Taarifa hizo ni za uongo, AS Vita haimmiliki Mpanzu toka msimu jana. Mpanzu alitakiwa aje Simba dirisha kubwa lililoisha ila AS Vita wakaweka ngumu hadi mkataba wake ulipoisha na hakusaini mwingine ndio maana alikaa nje miezi kadhaa bila kucheza kwa kuwa mkataba uliisha wakati dirisha letu limefungwa. Simba Sc ilimchukua Mpanzu bure pasipo kulipa hata senti moja AS Vita.
Hela iliyolipwa ni kwa timu iliyomkuza Mpanzu. Mkataba wa Mpanzu na Simba ni wa miaka mitatu.
Taarifa hizo ni za uongo, AS Vita haimmiliki Mpanzu toka msimu jana. Mpanzu alitakiwa aje Simba dirisha kubwa lililoisha ila AS Vita wakaweka ngumu hadi mkataba wake ulipoisha na hakusaini mwingine ndio maana alikaa nje miezi kadhaa bila kucheza kwa kuwa mkataba uliisha wakati dirisha letu limefungwa. Simba Sc ilimchukua Mpanzu bure pasipo kulipa hata senti moja AS Vita.
Hela iliyolipwa ni kwa timu iliyomkuza Mpanzu. Mkataba wa Mpanzu na Simba ni wa miaka mitatu.