Kuhusu comprehensive cover ya Real insurance, naomba msaada

Kuhusu comprehensive cover ya Real insurance, naomba msaada

Mupirocin

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,763
Reaction score
819
Wakuu mimi ninmkoko wangu umepata ajali na nilikuwa nimelipia comprehensive cover. Hivi nikisubmit document za polisi watarepair kweli gari langu.
Niseme nilijiunga bila kuwa na ufahamu wa kutosha.
Au nimakosa gani ya barabarani ukifanya hawa watu wa insurance hawawezi kucover.
Mimi gari yangu ilipata ajali baada ya kupasuka tairi na polisi wamethibitisha hivyo msaada please, nipo kwenye stress mbaya, kama hawatarecover gari yangu nitakuwa katika wakati mgum sana. Kwa sasa nipo Mtwara na wanaoshughurikia na CRDB kama urgent.
 
maadam report ya police imethibitisha hivyo basi wala usiwe na stress ndg....hapo inabidi uwasiliane na hao watu wa bima kisha wao watakupa fomu zao utajaza na kuambatanisha na documents watakazokuomba....watakwambia uipeleke garage kisha baada ya watu wa garage kuitathmini na wao watakuja kuitathmini kisha watakubaliana...so wewe utatakiwa uchangie kama laki mbili na nusu ktk malipo ya matengenezo....kama haiwezekani kuitengeneza basi bima watakulipa pesa kwa thamani uliyoicover gari yako
 
Wakuu mimi ninmkoko wangu umepata ajali na nilikuwa nimelipia comprehensive cover. Hivi nikisubmit document za polisi watarepair kweli gari langu.
Niseme nilijiunga bila kuwa na ufahamu wa kutosha.
Au nimakosa gani ya barabarani ukifanya hawa watu wa insurance hawawezi kucover.
Mimi gari yangu ilipata ajali baada ya kupasuka tairi na polisi wamethibitisha hivyo msaada please, nipo kwenye stress mbaya, kama hawatarecover gari yangu nitakuwa katika wakati mgum sana. Kwa sasa nipo Mtwara na wanaoshughurikia na CRDB kama urgent.
nenda mjulishe insurer wako juu ya ajali hiyo haraka, maana masaa xx yakipita itakula kwako pamoja na kuwa na comp. ins.
 
afu at least uwe ulipiga picha mkuu maana wayahitaj kuzifatilia hao watu wao
 
Mupirocin

Uzuri Comprehensive huwa inalipa hata kama ajali imetokana na ulevi!. Haitalipwa tu kama ajali umeisababisha kwa
kukusudia ili ulipwe fidia (mara nyingi inatokea kwa mtu kuchoma moto gari au kuliharibu kabisa - kama lina muda mrefu sana ili alipwe thamani ya gari kwa wakti huo na si matengenezo).

Mpigie simu pia Insurer moja kwa moja kwa sababu yeye ndiye una mkataba naye, mara nyingine Agent anaweza kusahau. Peleka Garage ili wakupe Profoma Invoice na pita Police wakupe Police form 90 na Vehicle Inspection report na Accident sketch map, zinazobaki utazichukua baadaye. Wao (Insurer) ndiyo watakuwa na jukumu la kumtuma Asssessor aende garage na kulikagua gari.

Baada ya hapo Assessor atatathimini uharibifu na kuandika report kwa Insurer ili atoe go ahead kwa Garage atengeneze. Haitachukua muda mrefu lakini ni vyema kuwakumbusha. Mchango wako yaa Excess inategemea na Policy ya Kampuni, lakini mara nyingi ni 10% ya gharama za matengenezo au 350,000. Pia kuna kitu kinaitwa Betterment kama wataweka Spare mpya kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Zifuatazo ni nyaraka muhimu zitahitajika na REAL Ins.PF 93, PF 90,SCATCH MAP,REPAIR COST FROM REPAIRER LAZIMA AWE APROVED NA ATI,PHOTOZ,LAZIMA UJAZE CLAIM FORM, NA UJIANDAE KUCHANGIA KIDOGO
 
Nashukuru sana wadau kwa michango yenu real ni highly productive na nimeshafuata hizo procedures, polisi wameshanipa hizo form na nimeshapelleka kwa urgent wao. Wamesema nisubiri coz hapa hakuna garage ya kutengenezea sasa nasubiri watasemaje. Nitawapa feedback kinachojili na pengine nisaidie ninapokwama. Mbarikiwe sana pasaka njema.
 
Mwone agent wako wa bima atakuelewesha nini cha kufanya. Watarepair kama ulikata bima comprehensive.
Wakuu mimi ninmkoko wangu umepata ajali na nilikuwa nimelipia comprehensive cover. Hivi nikisubmit document za polisi watarepair kweli gari langu.
Niseme nilijiunga bila kuwa na ufahamu wa kutosha.
Au nimakosa gani ya barabarani ukifanya hawa watu wa insurance hawawezi kucover.
Mimi gari yangu ilipata ajali baada ya kupasuka tairi na polisi wamethibitisha hivyo msaada please, nipo kwenye stress mbaya, kama hawatarecover gari yangu nitakuwa katika wakati mgum sana. Kwa sasa nipo Mtwara na wanaoshughurikia na CRDB kama urgent.
 
Back
Top Bottom