Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Juzi jioni kwenye round about ya hapa Ubungo nikiwa napita na gari baada ya Traffic kuruhusu magari ghafla ikatokea pikipiki kwa upande wangu wa kushoto so kwakuwa na mimi nilikuwa navuka yule mwenye pikipiki akajibamiza kwenye taa ya kushoto ya mbele.
Watu wakajazana pale na kwa kuwa sina uzoefu wa kupata ajali. Sikuweza kumdhibiti yule jamaa moja kwa sababu alikuwa mtu mzima kidogo halafu hata sikuona kama anaweza nlipa hiyo bei ya taa. Pia pikipiki yake nayo iliumia kiasi kwenye tairi la mbele. so ikabidi nimuache aende maana sikuwa na option ingine.
Ila sasa kwenye hiyo ajali taa ya mbele mimi ndio imepasuka. Sasa nipo najiuliza ntafanya vip insurance waweze kufidia hiyo kitu.
Naombeni ushauri wenu sana wakuu. Kama mnavojua mambo yamebana sana hiyo laki mbili ya taa mpya imenikalia kushoto sana mida hii.
Bima yangu ni comprehensive.
Naomba mnishauri vitu vya kufanya ili nijue naanzaje
Ushauri please
Watu wakajazana pale na kwa kuwa sina uzoefu wa kupata ajali. Sikuweza kumdhibiti yule jamaa moja kwa sababu alikuwa mtu mzima kidogo halafu hata sikuona kama anaweza nlipa hiyo bei ya taa. Pia pikipiki yake nayo iliumia kiasi kwenye tairi la mbele. so ikabidi nimuache aende maana sikuwa na option ingine.
Ila sasa kwenye hiyo ajali taa ya mbele mimi ndio imepasuka. Sasa nipo najiuliza ntafanya vip insurance waweze kufidia hiyo kitu.
Naombeni ushauri wenu sana wakuu. Kama mnavojua mambo yamebana sana hiyo laki mbili ya taa mpya imenikalia kushoto sana mida hii.
Bima yangu ni comprehensive.
Naomba mnishauri vitu vya kufanya ili nijue naanzaje
Ushauri please