Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,487
- 65,822
Hellow
Mimi nasema chips ni chakula kama vile wali hakiongezi kitu chochote mwilini wala kupunguza acheni kudanganywa na wanasayansi wa mchongo kuwa chips et zinapunguza nguvu za kiume iyo ini UONGO ULIO KUBUUU
Kula ugali ni umasikini wetu uku afrika uko wazungu ambao ni binadamu kama sisi hiko chakula wanawapa mifugo kwahio sisi tumevamia chakula cha mifugo na kufanya ni chakula chetu
Naludi tena sisi wa afrika tunakula hili tusife njaa hila sio kwamba tuna kula chakula wanaume wezangu ambao mbapenda chips zege kuleni kwani tangu umeeza kula babu akasiliki? je afanyi kazi?
Nguvu zinahitajika uki bariadi kulima sio kwenye mapenzi mapenzi ni ujanja na utundu
[mention]mpwayungu village [/mention] next time ukule chips uache makasiriko ata ukinikuta sehemu wewe niambie nitakununulia kama huna hela asante
Najua kuna watu watanichamba hapa kuwa na mwandiko mbaya naenda kulala ili nione hiyo michambo



Mimi nasema chips ni chakula kama vile wali hakiongezi kitu chochote mwilini wala kupunguza acheni kudanganywa na wanasayansi wa mchongo kuwa chips et zinapunguza nguvu za kiume iyo ini UONGO ULIO KUBUUU
Kula ugali ni umasikini wetu uku afrika uko wazungu ambao ni binadamu kama sisi hiko chakula wanawapa mifugo kwahio sisi tumevamia chakula cha mifugo na kufanya ni chakula chetu
Naludi tena sisi wa afrika tunakula hili tusife njaa hila sio kwamba tuna kula chakula wanaume wezangu ambao mbapenda chips zege kuleni kwani tangu umeeza kula babu akasiliki? je afanyi kazi?
Nguvu zinahitajika uki bariadi kulima sio kwenye mapenzi mapenzi ni ujanja na utundu
[mention]mpwayungu village [/mention] next time ukule chips uache makasiriko ata ukinikuta sehemu wewe niambie nitakununulia kama huna hela asante
Najua kuna watu watanichamba hapa kuwa na mwandiko mbaya naenda kulala ili nione hiyo michambo



