AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
samahani wandugu kwa wale wenye uelewa na kampuni ya beforward.jp, nimesikia ofisi zao zipo hapa dsm. hivi nikitaka kununua gari kupitia kampuni yao, natakiwa kwenda huko ofisini kwao kulipia pesa na kufanya arrangement zote au nafanyaje? na je, usalama wa gari kupitia kampuni yao ukoje ili nisipigwe pesa zangu. nitashukuru kwa wale watakaonishauri. thanks.