DaNdy
Member
- Aug 17, 2012
- 21
- 10
Napenda kujua kuhusu Software Engineering kwa hapa Tanzania, kwa upande wa soko kwa graduates wa course hii, makampuni unayoweza kufanya kazi na opportunities za kujiajiri unapomaliza. Naomba michango yenu wadau.
1st Year Student
B.Sc Software Engineering, CIVE-UDOM
1st Year Student
B.Sc Software Engineering, CIVE-UDOM