Kuhusu application UDOM

Kuhusu application UDOM

Simon Lucian

Member
Joined
May 24, 2022
Posts
12
Reaction score
2
Samahani,Kuna watu wameapply udom na maombi yamekubaliwa...

Maana mm nimejaribu na nimelipia ila bado wananiandikia not paid

Na nimewapigia cm wakasema ni tatizo la kimtandao ila hadi asa ivi bado hawajanisaidia ni ck ya 3.

Naombeni ushauri wenu wadau
 
Samahani,Kuna watu wameapply udom na maombi yamekubaliwa...
Maana mm nimejaribu na nimelipia ila bado wananiandikia not paid
Na nimewapigia cm wakasema ni tatizo la kimtandao ila hadi asa ivi bado hawajanisaidia ni ck ya 3
Naombeni ushauri wenu wadau
Inatokeag sema wapigie tena maana hata mimi dogo langu hajapata control no toka ameanza hizo process kwa udsm na udom wenyew
 
Samahani,Kuna watu wameapply udom na maombi yamekubaliwa...
Maana mm nimejaribu na nimelipia ila bado wananiandikia not paid
Na nimewapigia cm wakasema ni tatizo la kimtandao ila hadi asa ivi bado hawajanisaidia ni ck ya 3
Naombeni ushauri wenu wadau
Halafu kwanini Hilo tatizo linajirudia karibu kila mwaka hasa kwa udom

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom