Simon Lucian
Member
- May 24, 2022
- 12
- 2
Samahani,Kuna watu wameapply udom na maombi yamekubaliwa...
Maana mm nimejaribu na nimelipia ila bado wananiandikia not paid
Na nimewapigia cm wakasema ni tatizo la kimtandao ila hadi asa ivi bado hawajanisaidia ni ck ya 3.
Naombeni ushauri wenu wadau
Maana mm nimejaribu na nimelipia ila bado wananiandikia not paid
Na nimewapigia cm wakasema ni tatizo la kimtandao ila hadi asa ivi bado hawajanisaidia ni ck ya 3.
Naombeni ushauri wenu wadau