Kama vyeti anavyo. Necta na nacte wanavitambua basi ruksa kufanya maombiKakangu amehitimu diploma ya Early childhood education mwaka 2016 alianzia ngazi ya cheti baadae diploma,
Matokeo ya form 4 ana div four ya 32 na D ziko 3 je anaweza kupata nafasi ya kuajiriwa au mpaka atafute D ya nne?
Kasoma chuo gani?hapo ndio utapata jibu halisi maana kama chuo alichosoma hakina usajiri wa NACTE itakuwa ngumu kupata.Vyeti vyote anavyo, mwaka juzi aliomba akakosa sasa ndio tunahisi labda cheti cha form 4 ndio kinamkosesha kazi
Kasoma chuo gani?hapo ndio utapata jibu halisi maana kama chuo alichosoma hakina usajiri wa NACTE itakuwa ngumu kupata....
Mashaka yanakuja hapo kwenye div 4 ya 32 maana hakuna chuo kilicho na usajiri wa NACTE utapata nafasi ya kusoma CERTIFICATE kwa sifa hiyo.....tena ualimu,
Maana hapo nyuma kipindi cha KIKWETE ilikuwa div 4 ya 27 mwisho ila miaka ya karibuni wanahitaji div 3 mwisho...
Sasa huyo ndugu yako alisoma kipindi gani?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
chuo gan alisomaaChuo kina usajiri wa Nacte, na alidahiliwa kwa ngazi ya cheti akamaliza akaendelea na diploma katika chuo hicho hicho
Hicho chuo kinafanya mitihani ya necta?Chuo kina usajiri wa Nacte, na alidahiliwa kwa ngazi ya cheti akamaliza akaendelea na diploma katika chuo hicho hicho
Hiki chuo ni kanjanja akadai pesa zake tu.Kinaitwa MWANZA POLYTECHNIC INSTITUTE kiko wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu
Kama una D chini ya 4 unaweza soma chuo ILA...Kasoma chuo gani?hapo ndio utapata jibu halisi maana kama chuo alichosoma hakina usajiri wa NACTE itakuwa ngumu kupata....
Mashaka yanakuja hapo kwenye div 4 ya 32 maana hakuna chuo kilicho na usajiri wa NACTE utapata nafasi ya kusoma CERTIFICATE kwa sifa hiyo.....tena ualimu,
Maana hapo nyuma kipindi cha KIKWETE ilikuwa div 4 ya 27 mwisho ila miaka ya karibuni wanahitaji div 3 mwisho...
Sasa huyo ndugu yako alisoma kipindi gani?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app