Kuhusu ajira za ualimu

Kuhusu ajira za ualimu

Kakangu amehitimu diploma ya Early childhood education mwaka 2016 alianzia ngazi ya cheti baadae diploma,

Matokeo ya form 4 ana div four ya 32 na D ziko 3 je anaweza kupata nafasi ya kuajiriwa au mpaka atafute D ya nne?
Tatizo watanzania tuna mawazo ya kuajiriwa tu. Mshauri kaka yako afungue DAY CARE CENTRE kama hatua ya awali ya kujiajiri. Baadaye itamwezesha kuigeuza na kuwa Nursery School (Pre-Primary Education). Kisha mdogo mdogo kila mwaka anajenga darasa moja na kufungua Pre & Primary School. Ndani ya miaka 15 ijayo atakuwa milionea wa ukweli!! Lakini ndani ya miaka 15 kwenye ajira anayoitafuta atakuwa bado analilia nyongeza ya mshahara ya sh 10,000/= kwa MWAKA!!!!
 
Back
Top Bottom