Sasa kama unahonga laki 8 maana yake hela hiyo ya kuhonga unayo!
Mimi kuanzia Jumatatu mpaka leo jumapili nimehonga 3500 tena kwa siku mbili tofauti!
Siku ya kwanza nilihonga toto moja la kienyeji mtaani hapa 1000,
Toto zuri sana sura ya baba ila umbo lake ni 5 star.
nyingine nimemtumia demu nauli 2,500 na bahati mbaya amekula nauli yenyewe hajaja