Kuharibika kwa Maadili ya Kitanzania:

Kuharibika kwa Maadili ya Kitanzania:

Calvin John

Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Napishana na dada mmoja hapa Ubungo..Aiseeeeh!!!kavaa kigauni ambacho urefu kwenda chini kinaishia juu ya mapaja akiwa amesimama..Akiwa amekaa ndo malighafi zote zinakuwa exposed nje!!!..Sasa ni kwamba anajielewa mpaka akaamua kuvaa hako kagauni tena mchana sasa au hajui alitendalo au ndo kapigwa picha na maisha????
 
Upepo wa fasheni ni mkali kuliko wa maadili. The need to look fashionable
overrides the need for decency. Hujaona jinsi kata-k zilivyoongezeka
miongoni mwa vijana wakiume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom