Kuhamishwa soko

Kuhamishwa soko

Mumlii

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2021
Posts
266
Reaction score
362
Habari naomba, kuuliza wana JF kuhamishwa kwa wafanyabiashara sokoni ili ujenzi wa soko la kisasa. Lile eneo watakaoenda kugawiwa hao wanaohamishwa mtu anayetakiwa asimamie kugawiwa maeneo hayo ni mwenyekiti wa soko tu na mwenyekiti wa mtaa husika wa eneo jipya, halmashauru haihusiki kabisa,?

Maana Ushirombe wafanya biashara wamehamoshwa kwenda eneo jipya anayegawa maeneo ni mwenyekiti wa soko, tu. Halmashauri ya wilaya ya husika hamna hata mtu mmoja?
 
Back
Top Bottom