Watu bhana hakuna elimu isiyo na faida,hakuna ujuzi usiolipa, hahaa soma pambana na soko,geuza elimu kuwa hela,weka malengo na uyapambanie sana,tengeneza network yenye faida ya watu,nidhamu,bidii n kujituma, sala na maombi...nk YAANI MPAKA LEO HUYO DOGO HAJUI ANATAKA KUWA NANI/ANA MALENGO GANI KWENYE MAISHA?? Any way apige pcb aje kuwa dr ina soko town kwa ushauri lkn....