ha haaa, bora u-imagine tu..... ungenionea huruma....
namshukuru sana bibi yangu (mama mkwe wake) ndo aliingilia kati.....
visingizio kibao, hawana lolote
ha haaaa, shem huo utani hautaki kabisaaaaaa, maana alilia, lol!hahahaha walitaka kumkosesha kijana wa watu papuchi kisa visingizio.......loh afadhali bibi alikuwepo.Nahisi mumeo ukimkumbushia mbavu hana
ha haaaa, shem huo utani hautaki kabisaaaaaa, maana alilia, lol!
Sipati picha akiwa mtwara, itabidi ajifunze mbinu za kuwakimbia polithi.Hayo aliyobakiza kujifunza baada ya miaka 28 ya kuishi na hao wazazi, acha akajifunzw jinsi ya kuishi na majirani nao bwana. Kha!
Shosti kwani umegundishwa moshi? Kwanza tafuta kazi mtwara huko kwenye gesi. Ukamate $$ na utakutana na mchuchu huko huko. Achana na mambo ya kuatamiwa kama yai bwana. Jiongeze. Kuhama mkoa ndo kuhama home peacefully. I did the same.
ha haaaaa, lol!teh teh teh huyo ndo alipenda kiukweli hadi akaanza kuhisi ndege wake anaapeperushwa hivi hivi mchana kweupe...wasalimie wanao na baba yao kipenzi.
usihame dadangu n wait mpaka kuolewa mana stayin na wazazi unajifunza meng abt marriage lyf na pia unakua kama furaha yao mana wazaz wakiona watoto wao wanakua na furaha zaid,trst me kwa hlo mana m xperienc da sem lyf
Ungekuwa mtoto wa kiume ningekushauri uhame.
Ila wewe dada subiri uolewe! Ila kama plans zako sio kuolewa hakikisha unajipanga then ndio uhame
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hamaaaaaaa ufaidi maisha! Ukiolewa hapo hapo utazeekaje sasa? Utatoka jela 1 kwenda ingine! Akuuuuuuuuu! Kuwa na kwako kuna rahaa!
Tena anaesusa ni bi mkubwa wako uongo? Mwenyewe bi mkubwa wangu aligoma kabisaaa mimi kuhama mpaka tulipokubaliana mshahara wangu awe anauchukua yeye! Hapo swadaktaaaaaaa! Alikuwa anahisi nikiishi mwenyewe nitafujafuja mapesa na kumuongezea gharamaaa. Kumbe walaaaaa!
miaka 28 ni mingi ujue ooooh hapo ungekuwa umeshanunua visufuria vya kupikia kwako na kujijenga kimaisha aiseh pole sana ila bado hujachelewa.
Atavipata wakati wa kitchen part, acheni kumpotosha.
hakuna anayempotosha ila a reasonable man lazima ajijenge atasubiria vya kitchen party hadi lini na je hiyo kitchen party isipotokea atavipata hivyo vyombo mbinguni..........umri wake ulishasogea sio 24 huyu
Ndo mana hakuna wa kukuoa zaidi ya kukuvua chp tu.
Mtoto wa kike kama anafanya kazi mji ambao wazazi wake wapo, anapaswa kuishi kwa wazazi wake hata akifikisha miaka 90.We unafikiri send off ni kwa ajili ya kupewa vyombo?!
Kama anapenda aishi mwenyewe, basi atafute kazi sehemu nyingine, vinginevyo unataka awe nunga embe.
Ndo mana hakuna wa kukuoa zaidi ya kukuvua chp tu.
Mtoto wa kike kama anafanya kazi mji ambao wazazi wake wapo, anapaswa kuishi kwa wazazi wake hata akifikisha miaka 90.We unafikiri send off ni kwa ajili ya kupewa vyombo?!
Kama anapenda aishi mwenyewe, basi atafute kazi sehemu nyingine, vinginevyo unataka awe nunga embe.