Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

🤣🤣🤣🤣🤭
Hujui Kugongewa Ama
20230403_150739.jpg
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Dah pole asee ndio sababu aliokupa inamaana ww humridhishi mpka akatamani kwengine😆😆😆😆 matatizo ya nguvu za kiume yanatibika nenda kwa madaktari wakushauri nn cha kufanya ili utimize tamaa za mkeo
 
Ndoa TENAA
Ndoa againnn
Kilio kengine kutoka kwenye ndoa.

He kumbe huko kwenye ndoa "Wanawake mnafurahiaga mwanaume akichomwa sindano Kali..??!!"
😳😳😳

Dah waambieni basi wasioe ili KUPUNGUZA HIVI VILIO.

#YNWA
😀😀😀😀😀yaaani naungana na wewe kuna page nilikua napitia imagine mke wa mtu anasema yeye anajiridhisha na vibrator mumewe hana muda😀😀 sasa ndoa ya nini si bora uwe single
 
Back
Top Bottom