Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Mme wng alikuwa anatembea na mke wa mtu cku hajaniona anaongea kwenye cm na huo michepuko wanamkandia jamaa kuwa Hana nguvu Wala hajui kutombeeeeer na mme wng akawa anaamin anajiona ye ndo mtombaji Bora.......niliwadharau Sana aiseeeee!!!!
 
Acha kabisa yaan mkuu ukiweza wewe fanya uwezavyo Ila mwanamke akienda kugongwa nje anagawa kila kitu hata kile ambacho hua hakupi, ushahidi ninao
Anamnyima mumewe akijua anamuheshimu pia mahusia ya mashangaz mashost na ndg. Kwamba ukimpa huko itakuwa ndio tiket ya moja kwa moja.

Pia hatokueshim na ndoa haitadumu. Ila nje anatoa akijua hata asipomweshim sawa pia hawez na hana haki ya kupata kila ck.
 
Mtu mwili wake.
Kinachosuguliwa chase.
Unamuhangaikia khaa,piga chini fastaa tamaa zako hamishia kwenye pesaa
 
Mme wng alikuwa anatembea na mke wa mtu cku hajaniona anaongea kwenye cm na huo michepuko wanamkandia jamaa kuwa Hana nguvu Wala hajui kutombeeeeer na mme wng akawa anaamin anajiona ye ndo mtombaji Bora.......niliwadharau Sana aiseeeee!!!!
Hii post yako NIMEIELEWA sanaaaa

#YNWA
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Ndio, kugongewa mke kunauma, pole sana,lakini naomba nikuambie ukweli ambao naamini hutapenda kuusikia.

Kugongewa mke ni dalili ya laana katika maisha yako,so checkout,inaelekea maisha yako na wewe hayana Mungu,kwa maana kwamba upo uovu katika maisha yako.Mrudie Mungu,and all will be well.

Wanadamu tuko wepesi sana kunyooshea wenzetu vidole,wakati sisi wenyewe maisha yetu ni ya hovyo,we must change.Tunasahau kwamba unapomnyooshea mwenzio kidole kimoja,vinne vinakuelekea wewe.

Mkeo hana ulinzi wa Mungu,ndio maana anagongwa,mrudieni Mungu, ili mpate ulinzi wake.
 
Back
Top Bottom