chuganian
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,067
- 1,112
😝😝😝jamii forum banaKugegede ni neno la heshima yaani neno la lenye asili ya kibantu lenye maana ya salamu mfano za sahizi
Mtoa Mada nasikitika kuona walionitangulia kutoa maoni wanapotosha lugha hii adhwimu kutoka ubantuni ambayo inaelekea kupotea hvyo basi nakusihi endelea kulitumia ili neno kusalimia watu ili kulikuza lisipotee
Na wengi wahenga na tuliozunguka sana tunalitambua
Mfano pendelea kusalimia watu mfano bosi au mpangaji mwenzio mfano "nitakugegeda boss "ikiwa na maana habari za sahizi boss