Wacha uwongo Tindo Lisssu. Hakuna kikundi au genge lelote Tanzania linaloitwa 'Sukuma Gang' kuna Kabila la Wasukuma.
CHADEMA mnatumia siasa za kiutenganishi, (secession) yaani mavitu mnayofundishwa na mabeberu. Sasa ndio mmeng'ang'ania Majimbo ili mje muuze nchi mazima kwa Mababeru.
CHADEMA, mna mipango na mabeberu kuja kuangamiza Kabila la Wasukuma kwa sababu ya Visasi vyenu binafsi, tena visasi vya Mbowe na Lissu dhidi ya Hayati Raisi ambaye alikuwa Msukuma. Wacheni Ugaidi na Genocide dhidi ya Kabila la Wasukuma.