Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

Mkude ana mipango gani sasa yaani hii sababu ya mkude nani kawa mezesha sababu zingine ni za ovyo kabisa. Kushindwa kwa timu ni wachezaji wenyewe wala si kocha. Kwa kikosi cha tz hakuna mtu ambaye kukosekana kwake ni sababu ya timu kufungwa labda kidgo samata.
Mi nilivyoona Samata hayupo tu nilijua tumeumia si shabiki sana wa mpira lakini mechi na C verde samata alikuwa chachu kubwa sana ya ushindi goli la kwanza assist alitoa samata na goli la pili alishinda yeye
 
Labda kama unazungumzia majukwaa! Lakini kama unazungumzia pitch, ile pitch ina nyasi bandia kama Kaitaba! Karume! Nyamagama! Azam complex! Taifa na Amani Zanzibar! Hizo zote ni pitch ambazo wachezaji wetu wamezizoea!
 
Hujui mpora kaka; acha wanaojua waongee!!
Ww ndo hujui mpira kama unafikiri kutokuepo kwa mkude ndio sababu ya taifa starz kufungwa jana. Huyo mkude ana mechi ngap kacheza taifa starz ?? Sababu ya kupoteza mechi jana si la kocha wachezaji wenyewe tu ndo wamezingua na sijui kama wana watu wakuwaandaa kisaikolojia hii inaweza ikawa sababu na sio ya kutaja mkude.
 
Japo naumia na matokeo ya stars ya jana ila niseme wazi kwamba kwa mpira alioupiga chiluda jana kama kocha angeanzisha watu sahii wakuwalisha mpira chilunda na msuva ile game tungeshinda. Angalia attempt zote walizofanya stars 80% zote kafanya chilunda. Uyu kijana namtabilia makubwa mbeleni.
 
Labda kama unazungumzia majukwaa! Lakini kama unazungumzia pitch, ile pitch ina nyasi bandia kama Kaitaba! Karume! Nyamagama! Azam complex! Taifa na Amani Zanzibar! Hizo zote ni pitch ambazo wachezaji wetu wamezizoea!
Hata wakija wakiwapeleka manungu tutapigwa tu

Ova
 
Ni kweli kuna makosa Ktk upangaji wa kikosi, tukisema Amunike ni Mgeni, Je Hemed Morocco?
 
Hata Ally Mtoni kajitahidi, hata Manula, hata Feisal, hata Kelvin Yondani, tuseme wote wamejitahidi. Taifa Stars kufungwa bao moja ugenini ni jitihada kubwa zilifanyika.
 
Ww ndo hujui mpira kama unafikiri kutokuepo kwa mkude ndio sababu ya taifa starz kufungwa jana. Huyo mkude ana mechi ngap kacheza taifa starz ?? Sababu ya kupoteza mechi jana si la kocha wachezaji wenyewe tu ndo wamezingua na sijui kama wana watu wakuwaandaa kisaikolojia hii inaweza ikawa sababu na sio ya kutaja mkude.
Huwezi ukamwacha Mkude katikati pale ukategemea timu iwe na muunganiko mzuri. Mkude amekuwa akionesha uwezo wake mkubwa akiwa na Simba week in week out unawezaje kumuacha nje? Angalia sasa timu ilivyokuwa inabutua mpira ishara ya kuwa hawana kiungo wa kaliba ya Mkude.
 
Ni kweli kuna makosa Ktk upangaji wa kikosi, tukisema Amunike ni Mgeni, Je Hemed Morocco?

Tanzania ukiwa Kocha Msaidizi hasa wa Timu ya Taifa unakuwa huna tofauti na Tambara la Deki ambalo thamani yake hujulikana pale tu kama Mazingira yakichafuka vibaya ila hali ikiwa ni njema sahau Kutumika na hata Kuthaminiwa vile vile.

Vikosi hivi viwili kama Kimoja wapo Kingeanza jana nina uhakika wa 100% kuwa hadi muda huu Watanzania wengi tungekuwa ama bado tuko Baa ' tunazitwika ' tu kwa Shangwe huku Wabobezi wa ' Mbunye ' sasa hivi tukiwa bado Gesti kama siyo Loji tunatiririka na kuserereka nazo tu kwa raha zetu.

1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe / Ramadhan Kessy
3. Gadiel Michael / Abdi Banda
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Abubakary Salum / Faisal Salum
9. Thomas Ulimwengu / Shaaban Chilunda
10. John Boko

11. Shiza Kichuya

au

1. Aishi Manula
2. Ramadhan Kessy / Salum Kimenya
3. Abdi Banda / Gadiel Michael
4. Erasto Nyoni
5. Kelvin Yondan
6. Jonas Mkude
7. Simon Msuva
8. Faisal Salum / Abubakary Salum
9. Shaaban Chilunda / Thomas Ulimwengu
10. John Boko

11. Shiza Kichuya

Matokeo yake ' Mpuuzi ' mmoja kutoka nchini Nigeria anaenda Kutupangia Wachezaji wa majaribio Beki wa Kulia na Kushoto.

Sijawahi kuwa na Hasira mbaya na kali hivi kama niliyokuwa nayo kuanzia jana hadi sasa hivi!
 
Back
Top Bottom