Basi tena tuendelee na mikakati ya koroshoDua zote tulizomuombea uganda ashinde ili na cc walau tujitaidi ndo zinaishia apa
Ona huko Yanga mzee Akilimali anagombea uenyekiti na utashangaa wanampa. Doomed!mm nilishalong'amua hilo zamanii sana..sie twafaa kuwa madalali tu..uongo uongo mwingi maisha yanasonga
Mbovu Mbovu Mbovu Kupindukia.Ni bora kutopita kuliko kwenda cameroon na kuwa kapu la magoli.
Nimejaribu kuwa positive ila nashindwa. Mpira mbovu kabisa.
Ondoka hapa unaniudhi SanaSasa unanilaumu mimi?
So wakifungwa Leo nafasi bado wanayo?Bado moja
Anawameza leoMilioni 50 za mzee baba
Hawa jamaa wanalegea na kuvuta miguu , Naomba Wasiposhinda Wakirudi Wakabangue Korosho maana watakua wameshindwa kulitetea taifa uwanjani Basi wakalitetee taifa kwenye ubanguaji wa korosho.
Game ya mwisho na uganda, ,So wakifungwa Leo nafasi bado wanayo?
Wewe umetia nuksi.Ondoka hapa unaniudhi Sana
Aibu jamani,MTU unaacha kikosi kazi unapanga magalasa matupuuu mwisho Leo kushabikia timu ya Taifa...Bora ushabikie rede utaona hata chupi lakini si taifa stars...
Game ya muhimu kama hii wachezaji wanacheza kama hawataki. Kocha kaweka kikosi cha kipuuzi sijapata ona .