Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,906
- 150,215
TaratibuuuuuYani kocha kaacha wachezaji wa maana benchi kaingiza utumbo.
Abdallah kheri wa nini ? Yani kocha Fwalaaa sana
TaratibuuuuuYani kocha kaacha wachezaji wa maana benchi kaingiza utumbo.
Abdallah kheri wa nini ? Yani kocha Fwalaaa sana
Mkoso wa mwaka..
Wakitokaa hapo akili zitawakaa sawaaHapana mkuu,mimi nawapenda sana inabidi wapokelewe kishujaa na mizinga 21
Taratibuuuuu
Ni kweli anko,,ulichosema ni sahh kabsa,chek kama hv mkulu katweetAnkoo usichekeeee
Haswaaa! na itakuwa mfano kwa vizazi na miziziWakitokaa hapo akili zitawakaa sawaa
Ahsante sanaAbdullah kheri Sebo ni Mchezaji wa Azam nafasi ya Beki na Ally Mtoni Sonso ni Mchezaji wa Lipuli FC nae ni Beki
Mkuu alisema asiingiliwe kabsaHuyu kocha ana lake timu gani kapanga hii