Kufutwa kwa matokeo ya Urais Kenya ndio kuwafanye wabunge wetu wa upinzani wavae suti nyeusi?

Niliwahi kuomba humu turekebishe katiba na tubaki na mihimili miwili tu ya dola.

Hatuwezi kuwa na kikundi cha watu waliojikusanya sehemu moja na kuzitafuna sawasawa kodi za wavuja jasho wa nchi hii bila manufaa yoyote yale!

Ni aibu, pesa wanazolipwa hawa wabunge pamoja na mishahara ya wafanyakazi wote wa bunge tungeweza kuzitumia kuwapelekea maji na huduma nyingi huko vijijini.

Lile jengo tukufu linaweza kubaki kwaajili ya vitukuu wetu kama ukumbusho tu!
 
Ukiachilia mbali Ndugai kuchemsha je ni kweli wabunge wote wa upinzani wevaa suti nyeusi na kama ni kweli inaashiria nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumewachokoza wakenya hasa Rais aliyekalia kiti hivi sasa, uchokozi tunawafanyia kwa kuingiza siasa zetu uchwara, baadaye muda utazungumza.
kwani vipi?ungeeleza basi kwa nini wabunge wamevaa nyeusi
 
Hata mimi nimeshangaa mno spika kufanya hicho kitendo

Kile kiti kinaanza kumpwaya
Sio kimeanza kumpwaya, Bali kinampwaya kabisa. Ni kama mtu mwenye kiuno 36 akavaa chu.i size 42, ni lazima imvuke tuu na kuacha makalio wazi.
Anatuaibisha sana huyu agwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…