Mwangendage
Member
- Jan 11, 2012
- 69
- 2
hotel za Serengeti zipo za USD 1200 kwa siku hivyo hata mtu wa kawaida ukiamua kwenda kupumzika huko lazima ujiandae kwa 5m na kuendelea iwapo utalala hotel za aina hiyo. swala la kushangaa hizo garama ni swala la ushamba tu wa mtu kutojua garama za hotel za serengeti. kwa wale waliyowahi kuja huku hawawezi kushangaa hata kidogo labda kama kuna uthibitisho kuwa hela iliyotumika ilikuwa ya ikulu na kwamba haikuwa halali kwa mtu huyo kutumia.inawezekana pia mtu huyo alienda kikazi na mwenye kustahili kulala hotel kama hiyo au pia mtu wa usalama ambaye alikuwa hapo kikazi.