sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,497
- 2,916
Katika hari ambayo inaendelea tanzania. Maandamano yanazid kutanuka kimipaka.
Nawalaumu washauri wa mama na naamini hawampendi au hawamtaki kabisa ndio manaa wanashauri haya
1. Kufungwa kwa mtandao kunazolotesha uchumi kwa vinaja au jamii kubwa ambayo imejiajir kupitia mtandao. Hawa watu njaa ikiwazidi wataingia nao barabarani
2. Maduka kufungwa, yatapelekea njaa kali kwa vijana hasa mawinga na wengine ambao huamka kutafta ili wale. Hawa nao wataongezeka barabarani njaa ikiwa kali hakuna namna.
3. Vituo vya mafuta nchini vinakwenda kuishiwa mafuta soon kundi kubwa la vijana bodaboda watakosa kazi kwa kuishiwa mafuta na hakuna tajiri atajaribu kusafirisha mafuta dar njia hakuna
Hawa madogo njaa ikizid
Wataingia barabarani kudhibiti tayar itakuwa kazi sana
4. Watumishi wa umma kuendelea kubaki majumbani ni kuendelea kudhoofisha uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja hawa wataingia tu barabarani wakichoka
Ushauri wangu.
1. Washeni Mtandao
2. Matokeo yafutwe ipangwe ratiba nyingine lakini matakwa ya wananchi yakizingatiwa
3. Kama yatashindikana hayo mawili badi jeshi litaweka historia ya kuua watu wake maana watu wanaonesha kuchoka kabisa kauli za kina chalamila
Nawalaumu washauri wa mama na naamini hawampendi au hawamtaki kabisa ndio manaa wanashauri haya
1. Kufungwa kwa mtandao kunazolotesha uchumi kwa vinaja au jamii kubwa ambayo imejiajir kupitia mtandao. Hawa watu njaa ikiwazidi wataingia nao barabarani
2. Maduka kufungwa, yatapelekea njaa kali kwa vijana hasa mawinga na wengine ambao huamka kutafta ili wale. Hawa nao wataongezeka barabarani njaa ikiwa kali hakuna namna.
3. Vituo vya mafuta nchini vinakwenda kuishiwa mafuta soon kundi kubwa la vijana bodaboda watakosa kazi kwa kuishiwa mafuta na hakuna tajiri atajaribu kusafirisha mafuta dar njia hakuna
Hawa madogo njaa ikizid
Wataingia barabarani kudhibiti tayar itakuwa kazi sana
4. Watumishi wa umma kuendelea kubaki majumbani ni kuendelea kudhoofisha uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja hawa wataingia tu barabarani wakichoka
Ushauri wangu.
1. Washeni Mtandao
2. Matokeo yafutwe ipangwe ratiba nyingine lakini matakwa ya wananchi yakizingatiwa
3. Kama yatashindikana hayo mawili badi jeshi litaweka historia ya kuua watu wake maana watu wanaonesha kuchoka kabisa kauli za kina chalamila