Kufungua Huduma ya Afya "Kituo Cha Afya"

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,404
85,828
Wakuu habari za wakati huu, natamani sana kujua ABCs za kuanzisha kituo Cha Afya Cha binafsi.
Je ni mambo gani ya msingi ya kuzingatia?

Je, Kuna mtu anaweza ku-share experience namna ya kukiendesha kwa faida?

Natanguliza shukrani sana
 
Back
Top Bottom