Kufungua community based organization (NGO) Tanzania

fastum

JF-Expert Member
Sep 26, 2014
337
220
Kwanza napenda kuwasalimia wote humu na kuwatakia kazi njema.
Napenda kuelimishwa na kupatiwa details za kutosha na utaratibu pamoja na mahitaji hadi gharama na siku ngapi inaweza kunichukua hadi kuweza kufungua community based organization.pia na kama kuna mtu anejua jinsi au huwa anawasaidia watu kufungua NGO hapa Tanzania aweke details zake humu pamoja na gharama zote hadi kupata cheti mkononi.
PLEASE PRIVATE MESSAGE SIZITAKI.
 
Naomba unishikie simu yangu, lakini usiangalie picha za humo ndani!

anyways, hakuna GT atakae kuja PM kwa lengo la kukupa msaada,
shida ingekuwa ni ya kwake!
 
Kwa CBO (Community Based Organisation) unatakiwa kuandaa katiba ya Kikundi husika, Orodha ya wanachama waanzilishi ,Muhtasari wa kuazimia kuanzisha Asasi hiyo na barua ya maombi ya usajili (Barua ielekee Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri uliyopo).Kisha unapeleka Idara ya Maendeleo ya jamii katika Halmashauri uliyopo kwa ajili ya usajiri.

Kwa uzoefu wangu Ada ya usajili wa CBO ni 20,000/- hadi 50,000/- tu.

Kuanzisha NGO inatakiwa pia uwe na orodha ya wanachama waanzilishi, katiba ya asasi na muhtasari wa kikao kilichoazimia kuanzisha asasi hiyo .Kisha unaandika barua ya maombi ya kusajili asasi (NGO) kwa DAS wa Wilaya ambayo mnakusudia kuwepo Makao makuu ya Asasi yenu.

Baada ya hapo DAS atawahoji baadhi ya mambo Kisha ataandika barua ya kuomba usajili wa asasi yenu kwenda kwa Msajili.Barua hiyo atwapatia mtaiambatanisha pamoja na orodha ya nyaraka nilizozitaja hapo juu pamoja na barua yenu ya maombi kwa msajili.

Ada ya usajili wa NGO unatofautiana kulingana na wigo wa kijografia mnaouhitaji.Kwa mfano:NGO ya kufanya kazi katika Wilaya pekee,Mkoa ,Tanzania nzima au Kimataifa.

Nadhani nimejitahidi kukeleza kadri ya uzoefu wangu.

Kwa msaada zaidi ni-PM.
 
Kwa CBO (Community Based Organisation) unatakiwa kuandaa katiba ya Kikundi husika, Orodha ya wanachama waanzilishi ,Muhtasari wa kuazimia kuanzisha Asasi hiyo na barua ya maombi ya usajili (Barua ielekee Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri uliyopo).Kisha unapeleka Idara ya Maendeleo ya jamii katika Halmashauri uliyopo kwa ajili ya usajiri.

Kwa uzoefu wangu Ada ya usajili wa CBO ni 20,000/- hadi 50,000/- tu.

Kuanzisha NGO inatakiwa pia uwe na orodha ya wanachama waanzilishi, katiba ya asasi na muhtasari wa kikao kilichoazimia kuanzisha asasi hiyo .Kisha unaandika barua ya maombi ya kusajili asasi (NGO) kwa DAS wa Wilaya ambayo mnakusudia kuwepo Makao makuu ya Asasi yenu.

Baada ya hapo DAS atawahoji baadhi ya mambo Kisha ataandika barua ya kuomba usajili wa asasi yenu kwenda kwa Msajili.Barua hiyo atwapatia mtaiambatanisha pamoja na orodha ya nyaraka nilizozitaja hapo juu pamoja na barua yenu ya maombi kwa msajili.

Ada ya usajili wa NGO unatofautiana kulingana na wigo wa kijografia mnaouhitaji.Kwa mfano:NGO ya kufanya kazi katika Wilaya pekee,Mkoa ,Tanzania nzima au Kimataifa.

Nadhani nimejitahidi kukeleza kadri ya uzoefu wangu.

Kwa msaada zaidi ni-PM.
Thanks alot brother umenifuatia sana
Ubarikiwe
 
wa CBO (Community Based Organisation) unatakiwa kuandaa katiba ya Kikundi husika, Orodha ya wanachama waanzilishi ,Muhtasari wa kuazimia kuanzisha Asasi hiyo na barua ya maombi ya usajili (Barua ielekee Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri uliyopo).Kisha unapeleka Idara ya Maendeleo ya jamii katika Halmashauri uliyopo kwa ajili ya usajiri.

Kwa uzoefu wangu Ada ya usajili wa CBO ni 20,000/- hadi 50,000/- tu.
Mkuu aksante sana umetoa mwanga kwa wengi wenye uhuitaji ubarikiwe
 
Kwanza napenda kuwasalimia wote humu na kuwatakia kazi njema.
Napenda kuelimishwa na kupatiwa details za kutosha na utaratibu pamoja na mahitaji hadi gharama na siku ngapi inaweza kunichukua hadi kuweza kufungua community based organization.pia na kama kuna mtu anejua jinsi au huwa anawasaidia watu kufungua NGO hapa Tanzania aweke details zake humu pamoja na gharama zote hadi kupata cheti mkononi.
PLEASE PRIVATE MESSAGE SIZITAKI.
Ukihitaji katiba nishitue nikuunganishe na mtaalam aliyebobea kwenye mambo hayo.
 
Kwa CBO (Community Based Organisation) unatakiwa kuandaa katiba ya Kikundi husika, Orodha ya wanachama waanzilishi ,Muhtasari wa kuazimia kuanzisha Asasi hiyo na barua ya maombi ya usajili (Barua ielekee Kwa Mkurugenzi wa Halmashauri uliyopo).Kisha unapeleka Idara ya Maendeleo ya jamii katika Halmashauri uliyopo kwa ajili ya usajiri.

Kwa uzoefu wangu Ada ya usajili wa CBO ni 20,000/- hadi 50,000/- tu.

Kuanzisha NGO inatakiwa pia uwe na orodha ya wanachama waanzilishi, katiba ya asasi na muhtasari wa kikao kilichoazimia kuanzisha asasi hiyo .Kisha unaandika barua ya maombi ya kusajili asasi (NGO) kwa DAS wa Wilaya ambayo mnakusudia kuwepo Makao makuu ya Asasi yenu.

Baada ya hapo DAS atawahoji baadhi ya mambo Kisha ataandika barua ya kuomba usajili wa asasi yenu kwenda kwa Msajili.Barua hiyo atwapatia mtaiambatanisha pamoja na orodha ya nyaraka nilizozitaja hapo juu pamoja na barua yenu ya maombi kwa msajili.

Ada ya usajili wa NGO unatofautiana kulingana na wigo wa kijografia mnaouhitaji.Kwa mfano:NGO ya kufanya kazi katika Wilaya pekee,Mkoa ,Tanzania nzima au Kimataifa.

Nadhani nimejitahidi kukeleza kadri ya uzoefu wangu.

Kwa msaada zaidi ni-PM.
Naomba tuwasiliane nahitaji kuwa na CBO 0688177406
 
Back
Top Bottom