Kufumaniwa na mke wa mtu ni kosa kisheria?

Gaspare Mbile

JF-Expert Member
Aug 30, 2016
1,568
1,600
Pole na miangaiko wanajanvini!
Naomba kujua kuhusu kesi ya kufumaniwa na mke wa mtu, aidha kwa kujua kwamba mke wa mtu au kutojua!, je ni kosa kisheria? Inaangukia katika kosa gani la kisheria? Jinai au?, Nimekuwa nikisikia kesi nyingi za watu kufumaniwa na wake za watu kwenye jamii na pengine kufikishana polisi.Naomba nipewe dondoo ili nidhibitishe usemi wa 'Mke wa mtu sumu'.
Karibu wataalamu.
 
naona unatafuta kibali cha kuchepuka mke wa mtu.

okay, mke wa mtu mumewe ndo hakimu, hivyo akikukuta naye atakuhukumu kulingana na katiba yake yeye(Ubongo) inavyosema
Hahaha! Kaka wengine wanadanganya na kuvua pete,sasa yanaweza kukuta siku moja inabidi ujue kwanza.
 
Ni aibu kubwa mume kumpeleka mahakamani mkewe ametoka nje ya ndoa ni vigumu hata kusimama mbele ya mahakama mwisho wa siku mwanamke atakudhalilisha mbele ya mahakama kwamba hunauwezo chumbani haumpi unyumba. Kesi hizi mara nyingi zinasuluhishwa na balozi wa nyumba kumi, viongozi wa dini, wazee wa familia na hata mwenyekiti wa mtaa/kijiji.

*Tahadhari sana kufumaniwa na mke wa mtu
--unaweza kubakwa
--unaweza kuuwawa
--unaweza kupigwa
 
Kichwa cha habari ni tata. Kufumaniwa na mke wa mtu inaweza maanisha mke wa mtu amekufumania ukifanya mapenzi au inaweza maanisha umekutwa ukifanya mapenzi na mke wa mtu.
Swali linabaki walikukuta wanajua kuwa ninyi sio wanandoa?
Sheria ya ndoa ya 1971 inampa haki mume kuivunja hiyo ndoa na kukudai fidia wewe na huyo mwanamke.
 
Ni aibu kubwa mume kumpeleka mahakamani mkewe ametoka nje ya ndoa ni vigumu hata kusimama mbele ya mahakama mwisho wa siku mwanamke atakudhalilisha mbele ya mahakama kwamba hunauwezo chumbani haumpi unyumba. Kesi hizi mara nyingi zinasuluhishwa na balozi wa nyumba kumi, viongozi wa dini, wazee wa familia na hata mwenyekiti wa mtaa/kijiji.

*Tahadhari sana kufumaniwa na mke wa mtu
--unaweza kubakwa
--unaweza kuuwawa
--unaweza kupigwa
Shukurani mkuu,kumbe siwezi kufungwa jela.
 
Kichwa cha habari ni tata. Kufumaniwa na mke wa mtu inaweza maanisha mke wa mtu amekufumania ukifanya mapenzi au inaweza maanisha umekutwa ukifanya mapenzi na mke wa mtu.
Swali linabaki walikukuta wanajua kuwa ninyi sio wanandoa?
Sheria ya ndoa ya 1971 inampa haki mume kuivunja hiyo ndoa na kukudai fidia wewe na huyo mwanamke.
Kumbe unaweza kumlipa fidia na mke ukachukua hapo hapo mume akizira,very interesting.
 
Lakini fidia haidaiwi tu hvhv isipokua kama kuna ushahidi wa hasara iliyosababishwa ndipo mtu anaweza kukudai fidia
 
Lakini wengi hamumjibu vzr mtoa mada. Kumbuka ndoa ipo kisheria na amesema anasikiaga watu wakifikishana polisi kwa issue za kushikana ugoni. Je sheria inasemaje?? Weka hisia zako pembeni usianze kumuona ati anataka kuchepuka na mke wa mtu au ukahisi ndo unakaribia kuibiwa. We shauri tu kitaalam kama unajua
 
sheria ya mwaka 1971 inasema ukikamatwa ugoni mchana na mahakama ikathibisha mgoni atalipa laki 700. Mgoni akikamatwa ugoni usiku na mahakama ikathibitisha faini laki tano. nadhani mchana faini kubwa kwa sababu umeichungulia k, lakini usiku K haionekani ndio maana wameweka adhabu ndogo kwa mgoni aliyekamatwa usiku Hakuna mtu anayefungwa kwa ajiri ya ugoni, unalipa faini tu
 
Kamfumia mke wake?,ina uhusiano gani na hii mada inayojadiliwa hapa?
Sorry nilipitiwa ila ni kosa la jinai kutemvea na mke au mume wa mtu kulingana na sheria zetu za tanzania ntazungumzia sheria mbili tyu ila ziko nyingi sana naanza na PENAL CODE OF TANZANIA (sheria ya adhabu ya makosa ya jinai ) kipengele cha Offensive morality ibara ya 130 ibara ndogo ya pili (2) kipengele(d) kinasema mtu akifanya hvo atahusishwa moja kwa moja na makosa ya ubakaji hata kama atakuwa amekubaliana kufanya mapenzi na wewe
1477739880647.jpg

Pia katika sheria ya ndoa YA mwaka 1977 au LAW OF MARRIAGE ACT
(LMA-1977) ibara ya 130 ibara ndogo ya kwanza (1) na ya pili (2) inasema mwanaume au mwanamke akihusishwa na swala la kufanya mapenzi nje ya ndoa aldutery atakuwa kafanya kosa la jinai lakini ataondolewa kosa hilo endapo tu ATATOA USHAIDI WA KUTHIBITISHA KUWA HAKUJUA UHUSIANO WA ALIYEFANYA NAE KAMA KAOA AU KAOLEWA
1477740170974.jpg
 
Sorry nilipitiwa ila ni kosa la jinai kutemvea na mke au mume wa mtu kulingana na sheria zetu za tanzania ntazungumzia sheria mbili tyu ila ziko nyingi sana naanza na PENAL CODE OF TANZANIA (sheria ya adhabu ya makosa ya jinai ) kipengele cha Offensive morality ibara ya 130 ibara ndogo ya pili (2) kipengele(d) kinasema mtu akifanya hvo atahusishwa moja kwa moja na makosa ya ubakaji hata kama atakuwa amekubaliana kufanya mapenzi na wewe
View attachment 426075
Pia katika sheria ya ndoa YA mwaka 1977 au LAW OF MARRIAGE ACT
(LMA-1977) ibara ya 130 ibara ndogo ya kwanza (1) na ya pili (2) inasema mwanaume au mwanamke akihusishwa na swala la kufanya mapenzi nje ya ndoa aldutery atakuwa kafanya kosa la jinai lakini ataondolewa kosa hilo endapo tu ATATOA USHAIDI WA KUTHIBITISHA KUWA HAKUJUA UHUSIANO WA ALIYEFANYA NAE KAMA KAOA AU KAOLEWA
View attachment 426076
Hyo apo someni sasa
 
Sorry nilipitiwa ila ni kosa la jinai kutemvea na mke au mume wa mtu kulingana na sheria zetu za tanzania ntazungumzia sheria mbili tyu ila ziko nyingi sana naanza na PENAL CODE OF TANZANIA (sheria ya adhabu ya makosa ya jinai ) kipengele cha Offensive morality ibara ya 130 ibara ndogo ya pili (2) kipengele(d) kinasema mtu akifanya hvo atahusishwa moja kwa moja na makosa ya ubakaji hata kama atakuwa amekubaliana kufanya mapenzi na wewe
View attachment 426075
Pia katika sheria ya ndoa YA mwaka 1977 au LAW OF MARRIAGE ACT
(LMA-1977) ibara ya 130 ibara ndogo ya kwanza (1) na ya pili (2) inasema mwanaume au mwanamke akihusishwa na swala la kufanya mapenzi nje ya ndoa aldutery atakuwa kafanya kosa la jinai lakini ataondolewa kosa hilo endapo tu ATATOA USHAIDI WA KUTHIBITISHA KUWA HAKUJUA UHUSIANO WA ALIYEFANYA NAE KAMA KAOA AU KAOLEWA
View attachment 426076
Mkuu,

Hizo sheria ulizo nukuu hapo ni sheria kweli za Tanzania Mkuu?

Au zimefanyiwa marekebisho bila kujua?

Pia mbali na Katiba ya Jamhuri ya Tanzania ambapo tunatumia ibara, sheria zingine huwa tunanukuu kwa kusema kifungu namba fulani katika sheria fulani ya mwaka fulani. Kwa uelewa wangu na kulingana na sheria hizi za Tanzania.

Ninavyojua katika sheria ya ndoa ya mwaka 1971(The Law of the Marriage Act)
Katika kifungu cha 130 hakiongelei kuhusu ugoni(Adultery) bali kinazungumzia uwezo wa mahakama kutoa amri ya kumlea mtoto.

Kifungu kinachoongelea ugoni(Adultery) ni kifungu cha 72.

Pia katika sheria ya Kanuni ya Adhabu ya Makosa ya jinai(Tanzania Penal Code) katika kifungu cha 130 thelathini kinaongelea kubaka na kamwe hauwezi kuhusisha kubakwa na mtu ambae amekubali kwa ridhaa yake bila nguvu yoyote au tishio lolote au bila kuvaa uhusika wa kuwa mme wake kumbe siyo kuliwa halafu akafumaniwa. Hapo huwezi kusema kuwa ni kubakwa hata kidogo.

Hivyo ugoni ni kosa lakini siyo la jinai kwa mujibu wa sheria zetu ila mtu anaweza kwenda mahakamani kudai fidia kutoka kwa mgoni wake.

Endapo mgoni atathibitisha kuwa yeye hakujua kuwa aliyekuwa anazini nae ni mke wa mtu basi hapo kutakuwa hakuna kulipwa fidia tena.
 
Back
Top Bottom