Kufumaniwa na mke wa mtu ni kosa kisheria?

sheria ya mwaka 1971 inasema ukikamatwa ugoni mchana na mahakama ikathibisha mgoni atalipa laki 700. Mgoni akikamatwa ugoni usiku na mahakama ikathibitisha faini laki tano. nadhani mchana faini kubwa kwa sababu umeichungulia k, lakini usiku K haionekani ndio maana wameweka adhabu ndogo kwa mgoni aliyekamatwa usiku Hakuna mtu anayefungwa kwa ajiri ya ugoni, unalipa faini tu
Basi ni ntakuwa nawatomba usiku waume zao wakisafiri..
 
Kisheria, huku Tanzania Bara, kulala na mke wa mtu sio KOSA LA JINAI lakini huko Zanzibar ni KOSA LA JINAI.
 
Sorry nilipitiwa ila ni kosa la jinai kutemvea na mke au mume wa mtu kulingana na sheria zetu za tanzania ntazungumzia sheria mbili tyu ila ziko nyingi sana naanza na PENAL CODE OF TANZANIA (sheria ya adhabu ya makosa ya jinai ) kipengele cha Offensive morality ibara ya 130 ibara ndogo ya pili (2) kipengele(d) kinasema mtu akifanya hvo atahusishwa moja kwa moja na makosa ya ubakaji hata kama atakuwa amekubaliana kufanya mapenzi na wewe
View attachment 426075
Pia katika sheria ya ndoa YA mwaka 1977 au LAW OF MARRIAGE ACT
(LMA-1977) ibara ya 130 ibara ndogo ya kwanza (1) na ya pili (2) inasema mwanaume au mwanamke akihusishwa na swala la kufanya mapenzi nje ya ndoa aldutery atakuwa kafanya kosa la jinai lakini ataondolewa kosa hilo endapo tu ATATOA USHAIDI WA KUTHIBITISHA KUWA HAKUJUA UHUSIANO WA ALIYEFANYA NAE KAMA KAOA AU KAOLEWA
View attachment 426076
Ndugu kifungu namba 130(1)d PENAL CODE hakina tafsiri hiyo. Kifungu hicho kinazungumzia scenario ya mtu kuingia chumban akijifanya ndio mume then yule mwanamke akifikiri yeye ndiye mume akapanua miguu kwa hiyar kumbe sio mume wake. Hapo anakuwa AMEBAKA.
 
Pole na miangaiko wanajanvini!
Naomba kujua kuhusu kesi ya kufumaniwa na mke wa mtu, aidha kwa kujua kwamba mke wa mtu au kutojua!, je ni kosa kisheria? Inaangukia katika kosa gani la kisheria? Jinai au?, Nimekuwa nikisikia kesi nyingi za watu kufumaniwa na wake za watu kwenye jamii na pengine kufikishana polisi.Naomba nipewe dondoo ili nidhibitishe usemi wa 'Mke wa mtu sumu'.
Karibu wataalamu.
Kisheria sio kosa ila kiimani na kimaadili ni kosa!
 
Ndugu kifungu namba 130(1)d PENAL CODE hakina tafsiri hiyo. Kifungu hicho kinazungumzia scenario ya mtu kuingia chumban akijifanya ndio mume then yule mwanamke akifikiri yeye ndiye mume akapanua miguu kwa hiyar kumbe sio mume wake. Hapo anakuwa AMEBAKA.
Samahani, sio mtaalamu sana. Ila s.130 inaongelea rape Na sio adultery . Kwa Tanzania bara penal code haianzishi kosa la ugoni . Hivyo ugoni kama ugoni is not a criminal offence in tz mainland. (I stand to be educated)
 
Ni kosa kubwa sana hyo ni jinai kama tu utakutwa ugon na mashahid atakuwa nao soma.

Kifungu cha 72 cha sheria ya ndoa kinazungumzia kumchukulia hatua za kisheria mtu ambaye amethibitika kufany vitendo vya uzinz na mume au mke wako..

Asante naomba kuwasilisha
 
Sorry nilipitiwa ila ni kosa la jinai kutemvea na mke au mume wa mtu kulingana na sheria zetu za tanzania ntazungumzia sheria mbili tyu ila ziko nyingi sana naanza na PENAL CODE OF TANZANIA (sheria ya adhabu ya makosa ya jinai ) kipengele cha Offensive morality ibara ya 130 ibara ndogo ya pili (2) kipengele(d) kinasema mtu akifanya hvo atahusishwa moja kwa moja na makosa ya ubakaji hata kama atakuwa amekubaliana kufanya mapenzi na wewe
View attachment 426075
Pia katika sheria ya ndoa YA mwaka 1977 au LAW OF MARRIAGE ACT
(LMA-1977) ibara ya 130 ibara ndogo ya kwanza (1) na ya pili (2) inasema mwanaume au mwanamke akihusishwa na swala la kufanya mapenzi nje ya ndoa aldutery atakuwa kafanya kosa la jinai lakini ataondolewa kosa hilo endapo tu ATATOA USHAIDI WA KUTHIBITISHA KUWA HAKUJUA UHUSIANO WA ALIYEFANYA NAE KAMA KAOA AU KAOLEWA
View attachment 426076
Section 130 (2)(d) hukuisoma vizur. Najua inahusu kujifanya mme wa mfanywaji. Km kumuingilia usiku akiamin we ndo mmewe akakupa kwa hiari. Hamna jinai.
 
sheria ya mwaka 1971 inasema ukikamatwa ugoni mchana na mahakama ikathibisha mgoni atalipa laki 700. Mgoni akikamatwa ugoni usiku na mahakama ikathibitisha faini laki tano. nadhani mchana faini kubwa kwa sababu umeichungulia k, lakini usiku K haionekani ndio maana wameweka adhabu ndogo kwa mgoni aliyekamatwa usiku Hakuna mtu anayefungwa kwa ajiri ya ugoni, unalipa faini tu
Acha uongo Mkuu,
Sheria iwe ya mwaka 1971 kisha itaje laki 7??
Hujui kua laki 7 ya mwaka 1971 pengine ni bajeti ya Wizara moja?
 
Back
Top Bottom