Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Hivi kwa nini Chama cha Wananchi (CUF) kimekosa umaarufu kiasi kwamba kilikosa kiti hata kimoja bara 2005? Wabara wengi hawakioni kama Chama mbadala bali Chama Cha Waislamu kutokana na viongozi wake almost wote kuwa Waislamu! Je, ipi hasj ni sababu? 1. Kwa sababu ya Udini? 2. Hujuma za CCM? 3. Sera mbovu? 4. Lugha ya vitisho, eg tusipoingia Ikulu damu itamwagika? 5. Viongozi wake hawauziki? 6...?