Mbaya zaidi umefulia halafu washkaji zako wapo kwenye taasisi wanapiga hela za michongo balaa, wanawekeza tu kwenye nyumba za kupangisha, unawaza wewe umemkosea nini Mungu? Luna wakati unaanza kutamani hata kazi za wenzako hahahaha, kuna muda unajikuta unatamani uimbe uwe na hela kama diamond, au ucheze mpira na umri huu wa 40s uwe kama Ronaldo, hatari sana.