Atapewa haki zilizopo kwenye huo mkataba alio nao. Maana umesema ana mkataba wa kudumu. Huo lazima utakuwa na haki na wajibu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuacha au kuachishwa kazi.
Atapewa haki zilizopo kwenye huo mkataba alio nao. Maana umesema ana mkataba wa kudumu. Huo lazima utakuwa na haki na wajibu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuacha au kuachishwa kazi.