Mosse Anney
Member
- Feb 6, 2019
- 11
- 3
Habarini wadau napenda kuuliza mtu anapo fukuzwa kazi na anamkataba wakudumu na amefanya kazi zaidi ya miaka mitano je anatakiwa kupewa haki zipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhAtapewa haki zilizopo kwenye huo mkataba alio nao. Maana umesema ana mkataba wa kudumu. Huo lazima utakuwa na haki na wajibu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuacha au kuachishwa kazi.