Kufukua makaburi ya Gwajima hakutawasaidia

Kufukua makaburi ya Gwajima hakutawasaidia

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,112
Reaction score
831,786
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafua
 
Mkuu Mshana, watú wajinga siku zote huenda Kwa nguvu BILA akili.

Kuna Jana kakesha usiku kucha anatafuta video za miaka ya 2010 za Gwajima !!.


Wanasahau kua Kila jambo na wakati wake.


Hata hivo haya ni matokeo ya kujaza Vijana mbumbumbu Ndani ya Dola na CCM yenyewe.
 
Kaka mshana naomba unisaidie.

Hii ni ndoto nimeota mara kadhaa sasa, na kwa uelewa wangu mdogo juu ya unajimu inanitia wasiwasi.

Nimetoa Mimi na jamaa yangu tupo down stream pahali kama JNHPP Cha ajabu sikuwahi kufikaga huko hapo kabla.

Sasa nilikua Mimi na jamaa angu tupo kama pembezoni mwa mlima. Ila ikawa kana tupo Kuna madimbwi ya maji na Kuna mto kati kati, ambayo ndio mto rufiji alafu juu huko mlimani ndipo ilipo JNHPP sasa wakati tukiendelea tukasikia tu mlipuko mkali sana kama shambulizi la bomu. Huko juu mara ghafla tukaanza kuona mawe makubwa kwa madogo yanashuka kwa spidi ya hatari ila hayakua yakija upande wetu.

Nikamwambia jamaa yangu tuondoke halaka huku lisije bwawa kuvunjika maji yaka tukuta huku. Alafu nikamwambia jamaa hayo mawe huko yanapoenda hakuna Kijiji kitabaki.

Tutaanza sasa pulukushani ya kuanza kutafuta sehemu yakutoka. Mara ghafla nijapigiwa simu na kaka yangu ni mtu wa System. Akaniuliza uko wapi nikamjibu tupo huku chini ya bwawa akaniuliza Tena umesikia mlipuko. Nikamwambia ndio, akaniambia bwawa la Nyerere limevunjika jitahidi utoke huko haraka.

Tukaanza sasa kujinasua huko chini kabla maafa hayajatufika Ile tupo juu juu mara maji hayo ila hayakutufikia pale tulipo kuepo.

Sasa hii Ina maana gani kaka yangu.

Inaweza kuhusiana na Jeshi lijiandae?.

Maana katika tafasiri kuporomoka kwa mlima,kuvunjika kwa bwawa au magharika mengineyo. Ni juu ya Hali ya kiusalama ngazi ya taifa.

Naomba ufafanuzi wako kaka.
 
Mkuu Mshana, watú wajinga siku zote huenda Kwa nguvu BILA akili.

Kuna Jana kakesha usiku kucha anatafuta video za miaka ya 2010 za Gwajima !!.


Wanasahau kua Kila jambo na wakati wake.


Hata hivo haya ni matokeo ya kujaza Vijana mbumbumbu Ndani ya Dola na CCM yenyewe.
Kuna Jana kakesha usiku kucha anatafuta video za miaka ya 2010 za Gwajima !!.😂😂😂
 
Kaka mshana naomba unisaidie.

Hii ni ndoto nimeota mara kadhaa sasa, na kwa uelewa wangu mdogo juu ya unajimu inanitia wasiwasi.

Nimetoa Mimi na jamaa yangu tupo down stream pahali kama JNHPP Cha ajabu sikuwahi kufikaga huko hapo kabla.

Sasa nilikua Mimi na jamaa angu tupo kama pembezoni mwa mlima. Ila ikawa kana tupo Kuna madimbwi ya maji na Kuna mto kati kati, ambayo ndio mto rufiji alafu juu huko mlimani ndipo ilipo JNHPP sasa wakati tukiendelea tukasikia tu mlipuko mkali sana kama shambulizi la bomu. Huko juu mara ghafla tukaanza kuona mawe makubwa kwa madogo yanashuka kwa spidi ya hatari ila hayakua yakija upande wetu.

Nikamwambia jamaa yangu tuondoke halaka huku lisine bwawa kuvunjika maji yaka tukuta huku. Alafu nikamwambia jamaa hayo mawe huko yanapoenda hakuna Kijiji kitabaki.

Tutaanza sasa pulukushani ya kuanza kutafuta sehemu yakutoka. Mara ghafla nijapigiwa simu na kaka yangu ni mtu wa System. Akaniuliza uko wapi nikamjibu tupo huku chini ya bwawa akaniuliza Tena umesikia mlipuko. Nikamwambia ndio, akaniambia bwawa la Nyerere limevunjika jitahidi utoke huko haraka.

Tukaanza sasa kujinasua huko chini kabla maafa hayajatufika Ile tupo juu juu mara maji hayo ila hayakutufikia pale tulipo kuepo.

Sasa hii Ina maana gani kaka yangu.

Inaweza kuhusiana na Jeshi lijiandae?.

Maana katika tafasiri kuporomoka kwa mlima,kuvunjika kwa bwawa au magharika mengineyo. Ni juu ya Hali ya kiusalama ngazi ya taifa.

Naomba ufafa nuzi wako kk.
Nitakurudia Ila pitia hiii kwanza
 
Nitakurudia Ila pitia hiii kwanza
Asante
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
Wasivyo na akili wanaweza kuamua kumteka na kumpoteza Gwajima, hawa watu damu za Watanganyika zimewakolea sana wanaona kuua ndiyo dawa ya kunyamazisha wakosoaji.
 
IMG-20250525-WA0003.jpg
 
Mkuu Mshana, watú wajinga siku zote huenda Kwa nguvu BILA akili.

Kuna Jana kakesha usiku kucha anatafuta video za miaka ya 2010 za Gwajima !!.


Wanasahau kua Kila jambo na wakati wake.


Hata hivo haya ni matokeo ya kujaza Vijana mbumbumbu Ndani ya Dola na CCM yenyewe.
Hata hivo haya ni matokeo ya kujaza Vijana mbumbumbu Ndani ya Dola na CCM yenyewe.📌🔨💪🏿
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
Gwajima ni mwana mume lazima apige mashine na ikiwezekana arekodiwe video nyingine waturushie tuige maujuzi
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
Tatizo Hawa Hoja Mpaka Sasa Hakuna Kitachoweza kuelezea Matendo yao Cha msingi Hawapaswi kuking'ania hiko kiti TENAA
 
Gwajima sio mjinga aongee haya. Kuna mawili, katumwa na wakuu wenye uchungu na haya yanaendelea ambao wameamua Gwajima awe spika yao, au amefanya uchunguzi wa kina akapata uhakika kuwa wanaohusika na huu uovu wana nguvu kubwa sana kutoka juu. Maagizo kutoka juu.
 
Kaka mshana naomba unisaidie.

Hii ni ndoto nimeota mara kadhaa sasa, na kwa uelewa wangu mdogo juu ya unajimu inanitia wasiwasi.

Nimetoa Mimi na jamaa yangu tupo down stream pahali kama JNHPP Cha ajabu sikuwahi kufikaga huko hapo kabla.

Sasa nilikua Mimi na jamaa angu tupo kama pembezoni mwa mlima. Ila ikawa kana tupo Kuna madimbwi ya maji na Kuna mto kati kati, ambayo ndio mto rufiji alafu juu huko mlimani ndipo ilipo JNHPP sasa wakati tukiendelea tukasikia tu mlipuko mkali sana kama shambulizi la bomu. Huko juu mara ghafla tukaanza kuona mawe makubwa kwa madogo yanashuka kwa spidi ya hatari ila hayakua yakija upande wetu.

Nikamwambia jamaa yangu tuondoke halaka huku lisije bwawa kuvunjika maji yaka tukuta huku. Alafu nikamwambia jamaa hayo mawe huko yanapoenda hakuna Kijiji kitabaki.

Tutaanza sasa pulukushani ya kuanza kutafuta sehemu yakutoka. Mara ghafla nijapigiwa simu na kaka yangu ni mtu wa System. Akaniuliza uko wapi nikamjibu tupo huku chini ya bwawa akaniuliza Tena umesikia mlipuko. Nikamwambia ndio, akaniambia bwawa la Nyerere limevunjika jitahidi utoke huko haraka.

Tukaanza sasa kujinasua huko chini kabla maafa hayajatufika Ile tupo juu juu mara maji hayo ila hayakutufikia pale tulipo kuepo.

Sasa hii Ina maana gani kaka yangu.

Inaweza kuhusiana na Jeshi lijiandae?.

Maana katika tafasiri kuporomoka kwa mlima,kuvunjika kwa bwawa au magharika mengineyo. Ni juu ya Hali ya kiusalama ngazi ya taifa.

Naomba ufafanuzi wako kaka.
HAKUNA EMPIRE AMBAYO HAIKUDONDOKA NA CCM NI MFANO WA STATE EMPIRE ITADONDOKA TUU WATAKE WASITAKE NA SIKU ZAO ZINAJIHESABU MPAKA SASA
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
Gentleman,
hakuna haja kujibu porojo za gwajima sawa sawa na ambazo aliwahi kuzitoa mwenyekiti wa Chadema Taifa mstaafu.

tena yeye baada ya kuwashortlist wahanga wa hizo drama, akawatambulisha na ndugu zao kabisa mbele ya vyombo vya habari,

halafu akaenda mbali zaid,
Mwenyekiti huyo akataja majina na namba za simu za wahusika wa drama hizo, na akataja mpaka mahali wahanga walipo hifadhiwa,

Sasa sembuse porojo na stori za patapotea za mpotoshaji na muongo gwajima anaefahamika kwa kudanganya sio tu kwa wananchi wa kawe bali waTanzania nzima?

In fact,
mtu asie mentally fit, ndio pekee anaweza kuamini porojo za kwajima na kubabaika nazo 🐒
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
That is their modus operandi. Attack the messenger. They aren't capable of giving any coherent replues. It is beyond them.
 
Gentleman,
hakuna haja kujibu porojo za gwajima sawa sawa na ambazo aliwahi kuzitoa mwenyekiti wa Chadema Taifa mstaafu.

tena yeye baada ya kuwashortlist wahanga wa hizo drama, akawatambulisha na ndugu zao kabisa mbele ya vyombo vya habari,

halafu akaenda mbali zaid,
Mwenyekiti huyo akataja majina na namba za simu za wahusika wa drama hizo, na akataja mpaka mahali wahanga walipo hifadhiwa,

Sasa sembuse porojo na stori za patapotea za mpotoshaji na muongo gwajima anaefahamika kwa kudanganya sio tu kwa wananchi wa kawe bali waTanzania nzima?

In fact,
mtu asie mentally fit, ndio pekee anaweza kuamini porojo za kwajima na kubabaika nazo 🐒
Ugoro umeingia puani sasa ni mwendo wa chafya😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom