Kufuatia mvua zinazoendelea nimegunduwa tiles zinaingiza maji, nini tatizo?

Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Uliweka Damp proof membrane (DPM) kabla ya kumwaga jamvi?
 
Sidhani kama tatizo ni la fundi inawezekana shemu ulipo ni ya maji mengi (chem chem) hasa kipindi cha mvua nyingi
Uko sahii, kwenye uchochoro wa fire escape kuna asili ya chemchem kweli.

Sasa swali maji kupenya tiles kwa mara ya kwa wiki hii inaweza sababu kuu kuwa ni crack au nini?

Na kumaliza tatizo ni lazima uzifumuwe tiles zote uanze moja?
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Bila picha ni umbea
 
Back
Top Bottom