Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,921
- 94,341
- Thread starter
- #21
Uwani kuna kisima ambacho sikitumii baada ya kupata maji ya Dawasa.Chimba kisima mkuu maji yote yataelekea huko
Think.
Uwani kuna kisima ambacho sikitumii baada ya kupata maji ya Dawasa.Chimba kisima mkuu maji yote yataelekea huko
Kweli Jf imevurugwa...🤣Toka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Nimeshaondowa nimeweka off auto zote.Nadhani kakosea kuandika, kupanga hakuhusiani na kufuata vigezo vyote vya ufundi.
Mkuu Dr Matola PhD turn off auto correction kwenye keyboard yako, nmeona haya makosa kwenye uzi wako mwingine wa ndoa.
Anatafuta basha kinguvu huyo, usiku wa kuamkia leo amekopwaKweli Jf imevurugwa...🤣
kasema ameijenga mwaka 2000 hajasema amepangaToka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Mama ametuletea mvua, tunamshukuru.Shukran nyingi ziende kwa mama kwa kutufukisha hapa....😊
Anaeza kua na nyumba tegeta lakini akapanga sinza karibu na shughuli zake sioni tatizo, na unadhani wenye nyumba za nhc wote hawana nyumba?kasema ameijenga mwaka 2000 hajasema amepanga
Ukweli Mchungu japo utapingwa na wengiToka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Uliweka Damp proof membrane (DPM) kabla ya kumwaga jamvi?Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Kupanga mwisho mingapiYaani tangu 2000 upo nyumba ya kupanga kazi kuendekeza starehe tu
Amepata Kiboko yakeToka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Upo naye tuYaani tangu 2000 upo nyumba ya kupanga kazi kuendekeza starehe tu
Hii nyuma
Sidhani kama tatizo ni la fundi inawezekana sehemu ulipo ni ya maji mengi (chem chem) hasa kipindi cha mvua nyingiUmenieleza kitaalam, ila swali je hiyo crack imetokea mwaka huu? Maana miaka yote 24 sijawahi kuona hali hii.
Zile nylon nyeusi? Kama ndizo yes, lakini kuzunguka foundation.Uliweka Damp proof membrane (DPM) kabla ya kumwaga jamvi?
Uko sahii, kwenye uchochoro wa fire escape kuna asili ya chemchem kweli.Sidhani kama tatizo ni la fundi inawezekana shemu ulipo ni ya maji mengi (chem chem) hasa kipindi cha mvua nyingi
Bila picha ni umbeaHii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?