Kufuatia mvua zinazoendelea nimegunduwa tiles zinaingiza maji, nini tatizo?

Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Tile haziingizi maji. Wewe ulitegemea zifanye kazi ya waterproofing ambayo sio kazi yake. Hayo maji ni dalili kuwa kwenye sakafu ya chini/ zege kuna ufa na unapitisha maji kutoka kwenye udongo. Ondoa tiles sehemu husika ( kumbuka kuwa ufa unaweza kuwa mbali kidogo lakini maji yanapita sehemu ambayo grout imechoka. Ukishaona ufa, ziba halafu rudishia tiles. Weka upya grout ( siku hizi ziko ambazo ni waterproof) kote. Kama hayo maji yako bafuni, weka waterproofing kabla ya kuweka tiles. Zingatia pia kuwa kila baada ya miaka isiyozidi mitano karabati group.

Amandla...
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Kupenyesha maji kwa tiles hakuhitaji kujiuliza maswali mengi.

Hapo kuna mambo matatu ya muhimu kujua: quality ya tiles zilizotumika, ratio ya saruji iliyotumika kubandikia hizo tiles pamoja na fundi aliyefitisha kama alikuwa anagongomela na kuacha mianya ya uwazi ndani.

Zingelitumika za Italy '50(cm) na saruji '6 (karai) kubandikia, ungelikuwa unaruka na kukanyagana hadi ungerithisha mjukuu wako hilo gheto bila kuona hayo maajabu!

Ikumbukwe kwamba tiles nyingi zenye diameter ndogo hupitisha unyevu na kuvujisha maji.
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Gundi
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Hongera utaingia kwenye kitabu cha Forbes utakuwa mtanzania wa kwanza kugundua tiles zina ingiza maji
 
Tayari una PHD mkuu.
We endelea KUGUNDUA tuu.
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Foundation yako imeinuka kiasi gani toka ground level
 
Toka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
 
Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.

Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Acheni kujenga viwanja vya mabondeni
 
Back
Top Bottom