son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 516
- 1,367
Enzi hizo ushindani ulikuwa mdogo benki hazikuwepo na uhitaji wa benki ulikuwa mkubwahata hizo CRDB ,NMB zilianza kwa kuwa benki za vichochoroni
Tofauti na sasa benki lukuki ,ushindani mkubwa na benki zenye brand kubwa ndio zinazokimbiliwa na wateja wengi