Kufilisika kwa mabenki Tanzania: Ni kukua au kuanguka kwa uchumi?

Sio kweli kwamba malipo mwisho ni 1.5m bila kujali kiasi gani unadai bali Madai kwa amana zinazozidi Shilingi 1,500,000/- Kwa mujibu wa Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006 watalipwa kwa utaratibu wa ufilisi na sio kwamba itakuwa ndio basi tena. Wenye akiba isiyozidi Milioni 1.5 wako ndani ya ukomo fidia ya bima ya amana ndio maana bodi ya bima ya amana wakasema watazilipa kama zilivyo bila kusubiri utaratibu mwingine.
 
Yericko mpotoshaji mkuu, sio kweli kwamba wenye peza zaidi ya 1.5M hawatalipwa bali utaratibu wao wa malipo ni tofauti na wale wenye akiba 1.5M au chininya hapo.
We hata laki mfukoni hauna mjinga wewe,,,kwaiyo wewe peke yako ndio uliesikia ilo tamko, , watu washaanza kuhamisha fedha kwenye hizi benk za kawaida tayari,, ni hatari hii sheria yao
 
Sumatra wao wanawafanya wamiliki wa mabasi makubwa na madogo ni vitega uchumi vyao,, faini laki mbili na nusu hadi laki Tano,,pumbavu kabisa,, sijui na wao wanatafuta mtaji wafungue bank,,
 
Kufilisika kwa mabenki Tanzania ni kukua kwa uchumi au kuanguka kwa uchumi?, mjadala huu unaweza kutazamwa kwa namna yoyote kutokea upande wowote, lakini unaweza kuvurugika au kuimarika kama siasa na mihemko inaweza kutumika kujadili hili..

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya uchumi, mimi tafsiri yangu ndogo ya kijinga hasa kwa mie mjinga mkuu mwerevu mkulima wa bamia Mbutu Kigamboni, huwa ni idadi ya milo yangu na waleti yangu inasomaje. Haijalishi utanipa siasa gani za uchumi, kama sijashiba milo yangu mitatu kwa siku na kuhakikisha kwa macho yangu ya nyama kwamba pochi yangu haina pesa ya ugoro, basi mie nitasimamia kwamba uchumi umeyumba.

Wiki ya mwisho, masaa ya mwisho na dakika za mwisho za Gavana Beno Ndulu zineshuhudiwa bank tano zinazotambuliwa na Bank kuu Tanzania zinatangazwa rasmi kufilisika na kwamba wateja wake watakwenda kulipwa amana za benki hizo pale Bot.

Baada ya miaka ya 90 Bank ya Meridian kufa baadae ikafa Bank ya Greenland, BOT walituhakikishia kwamba kuanzia wakati ule bank binafsi zitakuwa zinaweka Amana BOT na kila wakati watakuwa wanazikagua, Wateja wasiwe na wasiwasi na Amana zao, hii inamaana kama katika binki flani unapesa kiasi cha bilioni moja, benki hiyo ikifilisika, bilioni moja yako itarudishwa kwako kupitia Bot.

Leo hii Bot wasema kwamba Wateja wa Benki zilizofilisika watalipwa fedha zao na Bodi ya Bima ya Amana huku kiwango cha mwisho cha malipo kikitajwa kuwa ni shilingi Milioni 1.5 bila kujali mteja alikuwa na akiba ya shilingi ngapi? Huku wale wenye akiba ya chini ya shilingi Milioni 1.5 watalipwa zote.

Hii inamaana kwamba kama ulikuwa na milioni miatano katika akaunti yako basi jiandae kulipwa milioni 1.5. Na kama kuna mteja mwingine kwenye akaunti yake alikuwa na milioni moja tu, huyu atalipwa yote bila kuugulia maumivu

Ukweli mchungu ni kwamba Sera za nchi hubuniwa na huenezwa na chama, kisha chama hicho kikishinda uchaguzi kinaunda serikali ambayo inaanza maramoja kusimamia sera za chama hicho katika kutawala.

Kwa Tanzania sera za ccm ndizo zilishinda na ndi yenye sera zote, hivyo mambo yakiharibika au yakiwa mazuri sifa au lawama ni za ccm bila kukukwepesha sifa hizi,

Muhimu cha kujua benki hizi zimenguka kutokana sababu za mdodoro wa kiuchumi iwe Tanzania au dunia vyovyote watakavyotaka kujitetea watetezi wa sera, chama na serikali.
Mdororo huu unasababishwa na sera mbovu za uchumi. Ukosefu wa ajira na kupungua kwa uwekezaji.Hii imesababisha kuweka pesa benki (deposit) kupungu, mikopo kupungua na uwezo wa kulipa mikopo kutoweka. Haya ni ndani ya miaka miwili tu.

Nini kifanyike? Wanauchumi karibuni.....

NB: Wanasiasa uchwara mtupishe na omo zenu midomoni, tunajadili kitaaluma mambo haya.....

Na Yericko Nyerere
View attachment 668959


Hayo ni Mabenki au vijibenki? Kwa hiyo kufilisika kwa efatha Bank ndo kiashiria cha uchumi wetu kuanguka?
 
Kumbe benki ikifilisika hata kama umeweka akiba mil 100 unaambulia mil 1 na lak5. Sheria za Tz ni za maajabu. Tunahitaji kutafuta sehemu salama ya kuhifadhi amana yako.
inategemea na salio la hilo benki unaweza pata zaidi ya hapo chini ya hapo au usipate kabisa
 
Ni ujuha kuweka pesa zako au kuweka amana yako kwenye vibenki vya uchochoroni,binafsi sioni kama ni kuteteleka kwa uchumi labda hizo benki walishindwa kwenye soko na sababu za kufilisika zipo nyingi

Ila yote kwa yote kweli uache NBC ,NMB japo siwakubali ,crdb na diamond ,kcb nk uende vibenki vya uchochoroni,?

Haki yao
Inaoenekana wee ni muajiriwa unaamini
Katika mali nyingi alizonazo mwajiri wako so huwezi kuwaza siku 1 nawe ufungue japo Genge
Unaponda vibenki vidogo ikiwa watu wanapambana Lengo kufikia ndoto zao!
Umewahi kujiuliza hizo Bank Kubwa unazojinasibu nazo unajua zililoanzishwa? au unafikiri zilianza zikiwa Kubwa tu!
 
Hapa nadhani tukubaliane kuwa,wenye mabasi na malori usafiri wao sio wa uhakika pale mnapotekwa na kuporwa kila mlichonacho na wenye vyombo hivi hawafidii.Binafsi naona tuseme mengine hili la ujio wa treni tulione kama ukombozi wa mnyonge ulioporwa na wachache kwa maslahi binafsi.

Benki zijiandae kukopesha wakulima wa korosho na vanira
ambao walisahulika kwa sababu ya ujio wa maroli ,mabasi na boda boda huku miundombinu ya kusafirisha mazao ya wakulima na viwanda vya kuchakata mazao yao vikigeuzwa kuwa godowns.
Mkuu Kwani Treni inazunguza Tanzania nzima?
 
Mimi siamini kuwa benki hizi zimekufa kwa sababu ya mdororo wa uchumi; nachoamini huenda Benki kuu walitoa leseni bila ya hizo benki kufikia vigezo vya kimtaji
Umeelewa vzr ulichoandika? ....BOT hawatoagi Mkopo wa LESENI yakufungua Bank unaweza Mzigo mezani unapewa Leseni Sema Labda walifanya uzembe kutowafuatilia...
 
Mkuu haya maswali yako si sawa , Ulaya usafiri wa Reli ni wa uhakika lakini kuna malori na mabasi nayo yafanya biashara.
Na wamiliki hukopa mitaji na fedha za uendeshaji toka Bank.
Mtwara, Lindi,Masasi , Liwale, Turiani, Mpanda, Malinyi ,Kyela kuna Reli?
Mkuu usilinganishe Ulaya na vitu vyakijinga
 
Hizo benki zilikua za kugawana pesa kama njugu tu
MTU anakopa kwa hati feki n.k ndio maana wanahojiwa Takukuru
 
Utafiti uliofanywa na BOT uligundua kuwa 90% ya akaunti zilizoko active katika benki zote nchini zilikuwa na pesa chini ya 1.5M. So in that case waathirika watakuwa ni wachache.
 
Utafiti uliofanywa na BOT uligundua kuwa 90% ya akaunti zilizoko active katika benki zote nchini zilikuwa na pesa chini ya 1.5M. So in that case waathirika watakuwa ni wachache.
 
Sera mbovu za uchumi zitatugarimu sana this time. Tumeona biashara nyingi zikifungwa tukasema ni wapiga dili, sasa na haya mabank nayo ni wapiga dili?
Tumemuweka mkandarasi madarakani ngoja tufaidi miundombinu tu.
 
Sio kweli kwamba malipo mwisho ni 1.5m bila kujali kiasi gani unadai bali Madai kwa amana zinazozidi Shilingi 1,500,000/- Kwa mujibu wa Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006 watalipwa kwa utaratibu wa ufilisi na sio kwamba itakuwa ndio basi tena. Wenye akiba isiyozidi Milioni 1.5 wako ndani ya ukomo fidia ya bima ya amana ndio maana bodi ya bima ya amana wakasema watazilipa kama zilivyo bila kusubiri utaratibu mwingine.
Lazima Kwanza TRA wachukue chao...Supllers wa hizo Bank nao wadake chao kisha ndio zamu yako ifike unaweza kuelewa nini kitakukuta... hiyo wamesema kupoza mioyoyo ya watu iliyojaa Moto lkn kama umeweka nyingi utaambulia 1.5tu
 
Kufilisika kwa mabenki Tanzania ni kukua kwa uchumi au kuanguka kwa uchumi?, mjadala huu unaweza kutazamwa kwa namna yoyote kutokea upande wowote, lakini unaweza kuvurugika au kuimarika kama siasa na mihemko inaweza kutumika kujadili hili..

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya uchumi, mimi tafsiri yangu ndogo ya kijinga hasa kwa mie mjinga mkuu mwerevu mkulima wa bamia Mbutu Kigamboni, huwa ni idadi ya milo yangu na waleti yangu inasomaje. Haijalishi utanipa siasa gani za uchumi, kama sijashiba milo yangu mitatu kwa siku na kuhakikisha kwa macho yangu ya nyama kwamba pochi yangu haina pesa ya ugoro, basi mie nitasimamia kwamba uchumi umeyumba.

Wiki ya mwisho, masaa ya mwisho na dakika za mwisho za Gavana Beno Ndulu zineshuhudiwa bank tano zinazotambuliwa na Bank kuu Tanzania zinatangazwa rasmi kufilisika na kwamba wateja wake watakwenda kulipwa amana za benki hizo pale Bot.

Baada ya miaka ya 90 Bank ya Meridian kufa baadae ikafa Bank ya Greenland, BOT walituhakikishia kwamba kuanzia wakati ule bank binafsi zitakuwa zinaweka Amana BOT na kila wakati watakuwa wanazikagua, Wateja wasiwe na wasiwasi na Amana zao, hii inamaana kama katika binki flani unapesa kiasi cha bilioni moja, benki hiyo ikifilisika, bilioni moja yako itarudishwa kwako kupitia Bot.

Leo hii Bot wasema kwamba Wateja wa Benki zilizofilisika watalipwa fedha zao na Bodi ya Bima ya Amana huku kiwango cha mwisho cha malipo kikitajwa kuwa ni shilingi Milioni 1.5 bila kujali mteja alikuwa na akiba ya shilingi ngapi? Huku wale wenye akiba ya chini ya shilingi Milioni 1.5 watalipwa zote.

Hii inamaana kwamba kama ulikuwa na milioni miatano katika akaunti yako basi jiandae kulipwa milioni 1.5. Na kama kuna mteja mwingine kwenye akaunti yake alikuwa na milioni moja tu, huyu atalipwa yote bila kuugulia maumivu

Ukweli mchungu ni kwamba Sera za nchi hubuniwa na huenezwa na chama, kisha chama hicho kikishinda uchaguzi kinaunda serikali ambayo inaanza maramoja kusimamia sera za chama hicho katika kutawala.

Kwa Tanzania sera za ccm ndizo zilishinda na ndi yenye sera zote, hivyo mambo yakiharibika au yakiwa mazuri sifa au lawama ni za ccm bila kukukwepesha sifa hizi,

Muhimu cha kujua benki hizi zimenguka kutokana sababu za mdodoro wa kiuchumi iwe Tanzania au dunia vyovyote watakavyotaka kujitetea watetezi wa sera, chama na serikali.
Mdororo huu unasababishwa na sera mbovu za uchumi. Ukosefu wa ajira na kupungua kwa uwekezaji.Hii imesababisha kuweka pesa benki (deposit) kupungu, mikopo kupungua na uwezo wa kulipa mikopo kutoweka. Haya ni ndani ya miaka miwili tu.

Nini kifanyike? Wanauchumi karibuni.....

NB: Wanasiasa uchwara mtupishe na omo zenu midomoni, tunajadili kitaaluma mambo haya.....

Na Yericko Nyerere
View attachment 668959
 
Wa kulaumiwa ni mkurupukaji na sera zake za kukurupuka. Alikurupuka na kuondoa 1trillion shillings kwenye mzunguko wa pesa nchini mwanzoni mwa 2016 na matokeo yake ndiyo haya. Biashara nyingi nchini zimekufa na juhudi za Serikali kutaka wafanyabiashara wakope kwenye mabenki hivyo kupunguza riba mara mbili toka 16% to 12% kisha to 9% juhudi hizo zimegonga ukuta kutokana na Wafanyabiashara wengi kutokuwa na imani na Serikali. Matokeo yake na mabenki yanaanguka sasa. Tulisema humu jamaa ni janga kubwa la Taifa sasa ushahidi unazidi kuongezeka. Niacheni niinyooshe nchi!!! Kweli nchi INANYOOKA.
waleo waliokuwa hataki kusikia sasa wanaona.....
 
Kufilisika kwa mabenki Tanzania ni kukua kwa uchumi au kuanguka kwa uchumi?, mjadala huu unaweza kutazamwa kwa namna yoyote kutokea upande wowote, lakini unaweza kuvurugika au kuimarika kama siasa na mihemko inaweza kutumika kujadili hili..

Mimi sio mtaalamu wa mambo ya uchumi, mimi tafsiri yangu ndogo ya kijinga hasa kwa mie mjinga mkuu mwerevu mkulima wa bamia Mbutu Kigamboni, huwa ni idadi ya milo yangu na waleti yangu inasomaje. Haijalishi utanipa siasa gani za uchumi, kama sijashiba milo yangu mitatu kwa siku na kuhakikisha kwa macho yangu ya nyama kwamba pochi yangu haina pesa ya ugoro, basi mie nitasimamia kwamba uchumi umeyumba.

Wiki ya mwisho, masaa ya mwisho na dakika za mwisho za Gavana Beno Ndulu zineshuhudiwa bank tano zinazotambuliwa na Bank kuu Tanzania zinatangazwa rasmi kufilisika na kwamba wateja wake watakwenda kulipwa amana za benki hizo pale Bot.

Baada ya miaka ya 90 Bank ya Meridian kufa baadae ikafa Bank ya Greenland, BOT walituhakikishia kwamba kuanzia wakati ule bank binafsi zitakuwa zinaweka Amana BOT na kila wakati watakuwa wanazikagua, Wateja wasiwe na wasiwasi na Amana zao, hii inamaana kama katika binki flani unapesa kiasi cha bilioni moja, benki hiyo ikifilisika, bilioni moja yako itarudishwa kwako kupitia Bot.

Leo hii Bot wasema kwamba Wateja wa Benki zilizofilisika watalipwa fedha zao na Bodi ya Bima ya Amana huku kiwango cha mwisho cha malipo kikitajwa kuwa ni shilingi Milioni 1.5 bila kujali mteja alikuwa na akiba ya shilingi ngapi? Huku wale wenye akiba ya chini ya shilingi Milioni 1.5 watalipwa zote.

Hii inamaana kwamba kama ulikuwa na milioni miatano katika akaunti yako basi jiandae kulipwa milioni 1.5. Na kama kuna mteja mwingine kwenye akaunti yake alikuwa na milioni moja tu, huyu atalipwa yote bila kuugulia maumivu

Ukweli mchungu ni kwamba Sera za nchi hubuniwa na huenezwa na chama, kisha chama hicho kikishinda uchaguzi kinaunda serikali ambayo inaanza maramoja kusimamia sera za chama hicho katika kutawala.

Kwa Tanzania sera za ccm ndizo zilishinda na ndi yenye sera zote, hivyo mambo yakiharibika au yakiwa mazuri sifa au lawama ni za ccm bila kukukwepesha sifa hizi,

Muhimu cha kujua benki hizi zimenguka kutokana sababu za mdodoro wa kiuchumi iwe Tanzania au dunia vyovyote watakavyotaka kujitetea watetezi wa sera, chama na serikali.
Mdororo huu unasababishwa na sera mbovu za uchumi. Ukosefu wa ajira na kupungua kwa uwekezaji.Hii imesababisha kuweka pesa benki (deposit) kupungu, mikopo kupungua na uwezo wa kulipa mikopo kutoweka. Haya ni ndani ya miaka miwili tu.

Nini kifanyike? Wanauchumi karibuni.....

NB: Wanasiasa uchwara mtupishe na omo zenu midomoni, tunajadili kitaaluma mambo haya.....

Na Yericko Nyerere
View attachment 668959
Mwananchi mwenye Elimu yake ya kilimo cha Bamia, uchumi wewe kwako wa mambo ya mabenki wa nini..!?

Ila umeeleza vizuri Sana. Wataalamu Wazidi kutupa nondo muhimu...
 
Uchumi utadumaa zaidi mimi ninavyoona, hii miundo mbinu iliyokuwa imefanyika ktk awamu ya nne ilikuwa inatosha kuweza kusukuma uchumi wa mkulima kwanza.
Serikali inatakiwa ijikite kumsaidia mkulima kufikia maendeleo ya kuweza kuzalisha kwa mashine na kuacha kutegemea mvua angalau kwa asilimia 20.
Ijikite kukuza soko la mazao kwa kujenga viwanda vya kuongezea mazao thamani ili kumsaidia mkulima na kukuza pato la taifa.
Kuongezea mtaji mabenki madogo yaweze kukopesha wakulima, kwa liba ndogo. Siku serikali ya namna hii itakapotokea TZ ndiyo uchumi wa kati tutakapoanza kuuongelea lkn kwa sasa wizi mtupu unaendelea.

Bunge liwe la watu wanaojitambua, kujaza wasichana wanaoingia humo kwa njia za ajabu ajabu, ni hasara kubwa. Serikali iwasikilize wachumi wa ukweli na siyo waalimu wa mashuleni. Wapo wenye mafanikio ktk shughuli zao na wafanya biashara wakubwa. Na mwisho Ujenzi wa vitu vya gharama kubwa kwa mikopo ni mfrisi wa jamii yetu ya kesho na ufukara mkubwa ujao kwa jamii yetu.
Mkuu Jspmsl, uko sahihi 100%. Huu ndiyo ufumbuzi! Tanzania itaendelea kuwa maskini kwa kuwa mtanzania mkulima ni maskini! Brilliant!
 
Mi nadhani rais asiongelee habari za uchumi, ateue wadau wabobezi ndo waongelee, maana ukimsikiliza katika ishu za uchumi anatumia nguvu nyingi kueleza, hoja ya nguvu inatumika badala ya nguvu ya hoja
 
Ni ujuha kuweka pesa zako au kuweka amana yako kwenye vibenki vya uchochoroni,binafsi sioni kama ni kuteteleka kwa uchumi labda hizo benki walishindwa kwenye soko na sababu za kufilisika zipo nyingi

Ila yote kwa yote kweli uache NBC ,NMB japo siwakubali ,crdb na diamond ,kcb nk uende vibenki vya uchochoroni,?

Haki yao
hata hizo CRDB ,NMB zilianza kwa kuwa benki za vichochoroni
 
Back
Top Bottom