Kufikiria kwamba Uturuki watatoa mkopo nafuu wa Reli kuliko China ni kujidanganya

Synthesizer

Platinum Member
Feb 15, 2010
12,639
22,490
Mie ndadhani mara nyingine hawa viongozi wa nje wanapotutembelea tunawakuza kupita kiasi wanachostahili. Alikuja Mfalme wa Morocco hapa, tukawa omba omba hadi wa kujengewa viwanja na misikiti. Kaja Mturuki tunamuomba mkopo wa kujenga reli ya standard gauge. Kwanza tujiulize, hivi tunajua gharama ya kujenga reli? Na huyo Mturuki, ana uchumi gani wa maana wa kutupa sisi mkopo wa masharti nafuu ili tujenge reli? Kwamba hiyo hela ni ya serikali au ya benki za uturuki? Serikali ya Uturuki ina fedha za kutoa misaada au hata mikopo ya kiasi hicho?

Ukweli ni kwamba kama kuna taifa lenye uwezo wa kutoa mkopo wa masharti au riba nafuu kwa ajili ya ujenzi wa reli hii basi ni China. Ndio maana nchi kama Ethiopia na Kenya reli na barabara zao zimekamilika haraka kwa sababu waliliona hilo. Tusisahau sasa hivi China anamfukuza Marekani katika kuwa economic power of the world, baada ya kumpiku Japan.

Sasa ni nini kimekorofisha katika suala zima la kujenga reli ya standard gauge kwa kupitia mgongo wa China hadi tuanze kuwa omba omba kwa nchi ndogo kama Uturuki? Tusiahau kwamba mara nyingine katika mambo ya uhusiano wa kimataifa huwezi kuepuka msemo wa beggars can't be choosers. Kama China wanataka kampuni yao ndio ijenge reli wakitupa huo mkopo, tatizo ni nini ikiwa China inajulikana duniani kuongoza kwenye mambo ya ujenzi wa reli? Hivi mnajua kwamba mfumo wa treni za chini za Washington ulijengwa na Wachina? Na reli ya Addis hadi Djibuti inayosifiwa si China? Na TAZARA je?

Tusipoangalia, hili suala la reli standard gauge hapa Tanzania litakuwa ni ndoto tu, wakati jirani zetu wanapeta! Mara nyingine tusijifanye tuna akili kuliko vile tulivyo.
======

Tazama Mjadala kuhusu hoja hii ukisomwa JamiiLeo
 
Mimi binafsi nimeumizwa kuona Kwamba mradi mkubwa kama huo Kwa Uchumi wa nchi yetu umeingiwa Na dosari.Ni jambo la kusikitisha Kwa hatua iliyokuwa imefikiwa ya kusaini mkataba wa mkopo huo Na leo kurudi tena hatua ya kuomba pesa mkubaliwe;kisha mkataba wa mkopo usainiwe na ndio labda ujenzi uanze.Hebu Serikali itoke ituambie nini kimetokea.Na Kwa kuwa Mhe.Raisi atakuwa kesho kwenye tukio linalohusiana Na miundombinu basi awaeleze watanzania nini kimetokea hadi kurudi square one.
 
Kwa kifupi Diplomasia ya hii nchi imekwenda na maji. Ilianzia rwanda, vietnam, india, sasa ipo turkey. Wote hao ni "manufacturers" wanaotafuta masoko ya kuuza suti na tiles. Bernard Camillius bado atabakia kama mwanadiplomasia mzuri sana aliyekua anajua nchi inataka nini.

Kweli, tunaye mwanadiplomasia mzuri pia lakini naona tangu mamsapu apigwe mkwara na yeye kaamua kubaki na diplomasia yake mifukoni. By the way huyu wa sasa nahisi kama diplomasia yake ilijikita kwenye migogoro zaidi ambayo kusema ukweli upande huo umechangia sana kutuchelewesha. Maana diplomasia ina matawi mengi.

Shikamoo Bernard Camillius huko uliko viatu vyako havijavaliwa huku.
 
Kwanza tu lazima tujue kuwa Uturuki katumwa na Marekani kuhujumu huu mradi Wa reli usijengwe na uchina kwa sababu Uturuki na marekani wanaelewana sana marekani yupo na maslahi kwenye nchi nyingi zinazouza trucks za kusafisha mizigo kama Ujerumani,Japan Na marekani yenyewe.......

Wanajua kabisa baada ya reli Biashara ya magari ya mizigo kote America Asia na ulaya itadoda hivyo kwa kushirikiana na mafisadi Wa Tanzania wenye biashara hiyo ya malori wanaingia taratibu kwenye issue hii ............

Mafisadi nchi hii yana nguvu sana waliua reli kipindi cha kikwete Sasa wanataka kuhujumu pia hii isijengwe kwa sababu ya biashara ya mafuta na trucks......

Haya nimeshayasena sana hata kuhusu India eti India iwape mkopo Tanzania wenye riba nafuu...............

Kama mnategemea Uturuki iwajengee hicho kipande 400km kwa pesa zake zenye riba nafuu kuliko China basi mtamaliza miaka 10 bila hiyo reli kuunganishwa............

Lazima tuwe wakweli uturuki ananunua ndege China,Anajengewa miundombinu na China .............

Halafu Leo eti uturuki wanapesa ya kuwapa Tanzania kwa mkopo nafuu wakati wao wadaiwa madeni ya kununua hata ndege China.....

Hakuna nchi yeyeote duniani yenye technology rahisi ya ujenzi kama China ..........

Ushahidi ni Kenya tu reli imeanza kujengwa 2015 Sasa hivi inakaribia kukamilika...............
 
Kwa kifupi Diplomasia ya hii nchi imekwenda na maji. Ilianzia rwanda, vietnam, india, sasa ipo turkey. Wote hao ni "manufacturers" wanaotafuta masoko ya kuuza suti na tiles. Bernard Camillius bado atabakia kama mwanadiplomasia mzuri sana aliyekua anajua nchi inataka nini.

Kweli, tunaye mwanadiplomasia mzuri pia lakini naona tangu mamsapu apigwe mkwara na yeye kaamua kubaki na diplomasia yake mifukoni. By the way huyu wa sasa nahisi kama diplomasia yake ilijikita kwenye migogoro zaidi ambayo kusema ukweli upande huo umechangia sana kutuchelewesha. Maana diplomasia ina matawi mengi.

Shikamoo Bernard Camillius huko uliko viatu vyako havijavaliwa huku.
Benard huyu huyu wa JK,potelea mbali kanywe nae chai tu kama unampenda.Hajawahi kufanya chochote cha maana zaidi ya kusema "anashangaa walikua wanapishana tu angani kama nyumba inaungua moto vile".
 
Kama hamuelewi kitu bora kuuliza, huo mradi una lot 4, na kila lot inapewa contractor tofauti, sasa walio tender hao waturuki ni lot moja ya km 400+ hivyo kama wata shinda ni wazi finance itatoka kwao, kwani kila nchi inavyo finance mradi inavutia kwake. wakipata wachina lot zote 4 basi makampuni yatakuwa ya china na mkopo utatoka china.

Na hili suala la diplomasia imekwenda mrama linatoka wapi? Yaani ikiwa one of our major trading partner ni china basi to deal na wachina tu? wengine hakuna? Je mnajua kwamba toka baada ya uhuru tumekuwa na miradi tofauti tofauti na kuwa financed na nchi mbali mbali bila kuathiri uhusiano wetu na China?
 
Kama hamuelewi kitu bora kuuliza, huo mradi una lot 4, na kila lot inapewa contractor tofauti, sasa walio tender hao waturuki ni lot moja ya km 400+ hivyo kama wata shinda ni wazi finance itatoka kwao, kwani kila nchi inavyo finance mradi inavutia kwake. wakipata wachina lot zote 4 basi makampuni yatakuwa ya china na mkopo utatoka china.
Na hili suala la diplomasia imekwenda mrama linatoka wapi? Yaani ikiwa one of our major trading partner ni china basi to deal na wachina tu? wenginehakuna? je mnajua kwamba toka baada ya uhuru tumekuwa na miradi tofauti tofauti na kuwa financed na nchi mbali mbali bila kuathiri uhusiano wetu na china?
asante kwa ufafanuzi mzuri
 
Mie ndadhani mara nyingine hawa viongozi wa nje wanapotutembelea tunawakuza kupita kiasi wanachostahili. Alikuja Mfalme wa Morocco hapa, tukawa omba omba hadi wa kujengewa viwanja na misikiti. Kaja Mturuki tunamuomba mkopo wa kujenga reli ya standard gauge. Kwanza tujiulize, hivi tunajua gharama ya kujenga reli? Na huyo Mturuki, ana uchumi gani wa maana wa kutupa sisi mkopo wa masharti nafuu ili tujenge reli? Kwamba hiyo hela ni ya serikali au ya benki za uturuki? Serikali ya Uturuki ina fedha za kutoa misaada au hata mikopo ya kiasi hicho?

Ukweli ni kwamba kama kuna taifa lenye uwezo wa kutoa mkopo wa masharti au riba nafuu kwa ajili ya ujenzi wa reli hii basi ni China. Ndio maana nchi kama Ethiopia na Kenya reli na barabara zao zimekamilika haraka kwa sababu waliliona hilo. Tusisahau sasa hivi China anamfukuza Marekani katika kuwa economic power of the world, baada ya kumpiku Japan.

Sasa ni nini kimekorofisha katika suala zima la kujenga reli ya standard gauge kwa kupitia mgongo wa China hadi tuanze kuwa omba omba kwa nchi ndogo kama Uturuki? Tusiahau kwamba mara nyingine katika mambo ya uhusiano wa kimataifa huwezi kuepuka msemo wa beggars can't be choosers. Kama China wanataka kampuni yao ndio ijenge reli wakitupa huo mkopo, tatizo ni nini ikiwa China inajulikana duniani kuongoza kwenye mambo ya ujenzi wa reli? Hivi mnajua kwamba mfumo wa treni za chini za Washington ulijengwa na Wachina? Na reli ya Addis hadi Djibuti inayosifiwa si China? Na TAZARA je?

Tusipoangalia, hili suala la reli standard gauge hapa Tanzania litakuwa ni ndoto tu, wakati jirani zetu wanapeta! Mara nyingine tusijifanye tuna akili kuliko vile tulivyo.

Nukuu kutoka kw Mkuu August

"Kama hamuelewi kitu bora kuuliza, huo mradi una lot 4, na kila lot inapewa contractor tofauti, sasa walio tender hao waturuki ni lot moja ya km 400+ hivyo kama wata shinda ni wazi finance itatoka kwao, kwani kila nchi inavyo finance mradi inavutia kwake. wakipata wachina lot zote 4 basi makampuni yatakuwa ya china na mkopo utatoka china.
Na hili suala la diplomasia imekwenda mrama linatoka wapi? Yaani ikiwa one of our major trading partner ni china basi to deal na wachina tu? wenginehakuna? je mnajua kwamba toka baada ya uhuru tumekuwa na miradi tofauti tofauti na kuwa financed na nchi mbali mbali bila kuathiri uhusiano wetu na china?"
 
Benard huyu huyu wa JK,potelea mbali kanywe nae chai tu kama unampenda.Hajawahi kufanya chochote cha maana zaidi ya kusema "anashangaa walikua wanapishana tu angani kama nyumba inaungua moto vile".
Kaa chini angalia investors namna walivyoijua Tanzania kipindi chake utajua kwamba jamaa alijitahidi kwa kiasi chake. Usiishi kwa hearsay mkuu. Ni membe huyohuyo ndio aliwezesha power economies kuja Tanzania. Kwa taarifa yako tu, kiongozi wa Taifa kama la Marekani anapotembelea nchi fulani, anavuta attention kwa watu wengi (by products) wakiwemo wawekezaji na watalii. Sisemi alikuwa BEST lakini yuko vizuri.
 
Mie ndadhani mara nyingine hawa viongozi wa nje wanapotutembelea tunawakuza kupita kiasi wanachostahili. Alikuja Mfalme wa Morocco hapa, tukawa omba omba hadi wa kujengewa viwanja na misikiti. Kaja Mturuki tunamuomba mkopo wa kujenga reli ya standard gauge. Kwanza tujiulize, hivi tunajua gharama ya kujenga reli? Na huyo Mturuki, ana uchumi gani wa maana wa kutupa sisi mkopo wa masharti nafuu ili tujenge reli? Kwamba hiyo hela ni ya serikali au ya benki za uturuki? Serikali ya Uturuki ina fedha za kutoa misaada au hata mikopo ya kiasi hicho?

Ukweli ni kwamba kama kuna taifa lenye uwezo wa kutoa mkopo wa masharti au riba nafuu kwa ajili ya ujenzi wa reli hii basi ni China. Ndio maana nchi kama Ethiopia na Kenya reli na barabara zao zimekamilika haraka kwa sababu waliliona hilo. Tusisahau sasa hivi China anamfukuza Marekani katika kuwa economic power of the world, baada ya kumpiku Japan.

Sasa ni nini kimekorofisha katika suala zima la kujenga reli ya standard gauge kwa kupitia mgongo wa China hadi tuanze kuwa omba omba kwa nchi ndogo kama Uturuki? Tusiahau kwamba mara nyingine katika mambo ya uhusiano wa kimataifa huwezi kuepuka msemo wa beggars can't be choosers. Kama China wanataka kampuni yao ndio ijenge reli wakitupa huo mkopo, tatizo ni nini ikiwa China inajulikana duniani kuongoza kwenye mambo ya ujenzi wa reli? Hivi mnajua kwamba mfumo wa treni za chini za Washington ulijengwa na Wachina? Na reli ya Addis hadi Djibuti inayosifiwa si China? Na TAZARA je?

Tusipoangalia, hili suala la reli standard gauge hapa Tanzania litakuwa ni ndoto tu, wakati jirani zetu wanapeta! Mara nyingine tusijifanye tuna akili kuliko vile tulivyo.
Kabla ya kutoa post inatakiwa uwe umejitafakari na uelewe lengo la mtu uliyemnukuu, hivi unajua jumla ya km za reli unayitakiwa kujengwa? Na mh Raisi ameomba kwa uturuki km ngapi? Ukijua hayo hutakuja tena na post zenu hizi
 
Back
Top Bottom