Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Habari wanajf,
Ndo nimeingia toka kijijini kwa bibi na kule access not richabo, sasa leo naingia jf nakutana na hii stetimend inamentioniwa sana, "Kufikiri kwa masaburi"
Jamani nini maana ya neno masuburi? maana naoa kiswahili kinakua kila kukicha.
Ndo nimeingia toka kijijini kwa bibi na kule access not richabo, sasa leo naingia jf nakutana na hii stetimend inamentioniwa sana, "Kufikiri kwa masaburi"
Jamani nini maana ya neno masuburi? maana naoa kiswahili kinakua kila kukicha.