Kufika Loliondo kwa babu jamani

One and Only

Senior Member
Mar 7, 2011
161
62
Habari zenu great thinkers, naomba msaada wa mawazo mwenzenu, nina bibi yangu amegoma kula na hataki kuongea na mtu yoyote hapa nyumbani kisa kijijini kwao wazee wenzake wote wameenda kupata kikombe cha babu kasoro yeye kwa hiyo anataka kupelekwa loliondo. Mtu mwenyewe anamatatizo makubwa ya miguu, je kuna ndege za kwenda loliondo na kama zipo tutapata wapi? Apelekwe yaishe maana imekuwa taabu na hawezi kusafiri mwendo mrefu na gari anaumwa sana miguu. Nawasilisha janvini, msaada wenu jamani
 
mjomba tuingie PM mara moja, nitakusolvia shida hii right away!...
If you are serious be serious!
 
Habari zenu great thinkers, naomba msaada wa mawazo mwenzenu, nina bibi yangu amegoma kula na hataki kuongea na mtu yoyote hapa nyumbani kisa kijijini kwao wazee wenzake wote wameenda kupata kikombe cha babu kasoro yeye kwa hiyo anataka kupelekwa loliondo. Mtu mwenyewe anamatatizo makubwa ya miguu, je kuna ndege za kwenda loliondo na kama zipo tutapata wapi? Apelekwe yaishe maana imekuwa taabu na hawezi kusafiri mwendo mrefu na gari anaumwa sana miguu. Nawasilisha janvini, msaada wenu jamani
Atapata ndege, na atarudi anatembea kwa miguu yake...Nadhani hadi anapokomalia hivyo ujue ana imani ya kutosha kuhamisha milima!
Nitakupa options kadha za kufika huko kwa ndege au helikopta, just at your convinience.
 
nikiwa samunge alikuja pilot mmoja na ndege ndogo nadhani inachukua watu watano ile anaitwa babu sambeke akatua na ile ndege barabarani dah raia tuliburudika saana maana 2 days tuko pale kwenye foleni ni sisi na wasonjo tuu na mbuzi choma zao. uwanja wa ndege upo nyuma ya mlima sehemu inaitwa wasso. baada ya hapo unachukua gari sijui ni bei gani.
 
nikiwa samunge alikuja pilot mmoja na ndege ndogo nadhani inachukua watu watano ile anaitwa babu sambeke akatua na ile ndege barabarani dah raia tuliburudika saana maana 2 days tuko pale kwenye foleni ni sisi na wasonjo tuu na mbuzi choma zao. uwanja wa ndege upo nyuma ya mlima sehemu inaitwa wasso. baada ya hapo unachukua gari sijui ni bei gani.

Kama utakuwa makini magari yale yako chini ya babu, na yana namba za serikali (SM)...Kinachofanywa pale ni kuchangia mafuta ambapo inabidi ipatikane 20K kwa kila abiria!
 
Pole sana kwa matatizo ya bibi. Usafiri uje hadi Arusha, ufike arusha airport Kisongo, kuna Helicopta utapewa gharama ya kama dola elfu moja hadi mia saba hivi ila sina hakika ya gharama kwani kila mara inabadilika. Mtafute Kapten Barasa. Hiyo inatua nje kwa babu hakuna gharama zaingine za gari.
 
Panda precision mpaka KIA na kutoka hapo si ipo ile helikopta ya ndesa!!!
Habari zenu great thinkers, naomba msaada wa mawazo mwenzenu, nina bibi yangu amegoma kula na hataki kuongea na mtu yoyote hapa nyumbani kisa kijijini kwao wazee wenzake wote wameenda kupata kikombe cha babu kasoro yeye kwa hiyo anataka kupelekwa loliondo. Mtu mwenyewe anamatatizo makubwa ya miguu, je kuna ndege za kwenda loliondo na kama zipo tutapata wapi? Apelekwe yaishe maana imekuwa taabu na hawezi kusafiri mwendo mrefu na gari anaumwa sana miguu. Nawasilisha janvini, msaada wenu jamani
 
Hujasema uko wapi? Kama uko Mwanza kuna ndege ndogo za AURIC AIR zinaruka mara mbili kwa wiki kwenda kwa Babu. Unafanya booking kabla na namba ikitimia mnaenda na ndege inawangoja mnapata kikombe halafu mnarudi. Sina uhakika wa gharama kwa mtu mmoja.
 
nikiwa samunge alikuja pilot mmoja na ndege ndogo nadhani inachukua watu watano ile anaitwa babu sambeke akatua na ile ndege barabarani dah raia tuliburudika saana maana 2 days tuko pale kwenye foleni ni sisi na wasonjo tuu na mbuzi choma zao. uwanja wa ndege upo nyuma ya mlima sehemu inaitwa wasso. baada ya hapo unachukua gari sijui ni bei gani.

Mkuu sio wanatua pembeni ya barabara pale karibu na bonde la mto! Duh! nilitembelea huko na Wasonjo ameniput off! wanapenda sana pesa wale ahh! ugali mbichi na babu akisitisha shughuli kule watakufa na njaa maana wamesahau hata kulima na mbuzi zote zitakuwa zimeisha lol! Mkuu huyo bibi inabidi apande helicopter tu! milima na mavumbi yale vitamuua!
 
Auric Air wanasafari za kibiashara kati ya Dar na Loliondo; na Mwanza Loliondo. Niliambiwa Mwanza/Loliondo/Mwanza ni laki tano na thelathini elfu - nadhani. Wapigie utapata unafuu kuliko kwenda arusha na kulipia helikopta
 
Wakati PJ unaendelea kumpatia msaada Once and Only nimejifunza jambo na mimi pia kuwa at the moment kila njia inaelekea Samunge!

1.. AURIC Air
2.. Precision Air (in collaboration with Capt Barasa)
3.. Babu Sambeke Air !
 
nikiwa samunge alikuja pilot mmoja na ndege ndogo nadhani inachukua watu watano ile anaitwa babu sambeke akatua na ile ndege barabarani dah raia tuliburudika saana maana 2 days tuko pale kwenye foleni ni sisi na wasonjo tuu na mbuzi choma zao. uwanja wa ndege upo nyuma ya mlima sehemu inaitwa wasso. baada ya hapo unachukua gari sijui ni bei gani.
Asante sana mkuu, ntayafanyia kazi maelezo yako
 
Auric Air wanasafari za kibiashara kati ya Dar na Loliondo; na Mwanza Loliondo. Niliambiwa Mwanza/Loliondo/Mwanza ni laki tano na thelathini elfu - nadhani. Wapigie utapata unafuu kuliko kwenda arusha na kulipia helikopta

Asante sana mkuu T, niko Dar so ntawasiliana nao kesho
 
Hujasema uko wapi? Kama uko Mwanza kuna ndege ndogo za AURIC AIR zinaruka mara mbili kwa wiki kwenda kwa Babu. Unafanya booking kabla na namba ikitimia mnaenda na ndege inawangoja mnapata kikombe halafu mnarudi. Sina uhakika wa gharama kwa mtu mmoja.

Niko Dar, asante sana mkuu
 
Thanks every one, ngoja nikafanyie kazi msaada yenu, maana anatukosesha usingizi , she is 80 yrs lakini dah! hataki chochote mpaka apelekwe loliondo ndio kitaeleweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom