Kufika Kileleni ! Kumbe Kutamu Kihivi !

Kufika Kileleni ! Kumbe Kutamu Kihivi !

Kipipi hizo kelele zako za kimahaba ushaniathiri kisaikolojia ivoo!

Mdogo wangu Arushaone hilo athiriko la saikolojia mbona unalo tangu tuko fesibuku?
Hata huku Jeiefu tukiwa hatujahamia? Sasa hilo tatizo likiendelea na huku utaponea wapi ?
Hebu kachimbe mizizi ya mpapai dume changanya na mbegu za ukwaju uchemshe unywe kutwa x3 kwa siku 7!
Kisha konyagi na supu ya pweza iwe marufuku kunywa!
 
Last edited by a moderator:
Sasa hujatuambia kama kilele iko ulikifikia usiku ama mchana.....
kweli kabisa swali zuri pia atuambia alikuwa na nani , ilikuwa ni mashindano kwamba nani wa kwanza kufika ama kawaida tu, kipi kilikushawishi kufika huko ila nasi tushawishike kuwafikisha wanaopenda kufika je ni utulivu wa mazingira na baridi ya eneo husika juhudi binafsi ama.....funguka umeacha njianao hapo
 
Nilikua na mpenzi wangu!
Juhudi binafsi vilikua ni vigezo maridhawa kutufikisha at the destine of the peak!
 
Oya ivi watalii wa ndani wanalipa sh. Ngapi kupanda mlima kilimanjaro? Nataka nipande na mimi nifike kilele cha mount kilimanjaro. Niweke history...
 
Humo kivipi? Hao ni mtu na shemejie nnavyojua mie!
Kwani wewe unafahamu mahusiano yao tofauti na hivyo? Hebu funguka manaake sikuwepo hapa kama wiki hivi !
Hakuna lolote lililotokea mupenzi, wewe ndio mmiliki halali. Erickb52 ni shemu wangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom