Kufanyishwa mapenzi usiku na wachawi

Kufanyishwa mapenzi usiku na wachawi

Lakunle

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2018
Posts
637
Reaction score
587
Wasalaam wanabodi.......

Tukio moja limetokea kijijini kwetu wananchi wamemtimua kwa mapanaga mtumishi wa serikali(mwalimu was kiume) kwa tuhuma za kufanya mapenzi na wake zao kiuchawi. Jamaa kahamishiwa kituo kingine.

Maswali nnayojiuliza ni mbinu gani wanatumia kukuamsha hisia ilhali wewe umelala pia hakuna uwezekano wa mtu kumwambukiza magonjwa ya zinaa? Msaada tafadhali
 
ipo hyo mkuu unajikuta una ukimwi lakini kila uliyetembea nae hana na hata wazazi wako pia hawana huo ni uchawi wa mikoa fulani huko binadam ni viumbe wa ajabu sana,kuna sister du alipangiwaga kikazi huko watu wakamtongoza akawatolea nje na nyodo juu,baada kama ya siku mbili walimla kote mbele na nyuma anaamka asubuhi chumba kizima kinananuka mavi.
inshort alijinyonga watu wakaja kujua sababu baada ya siku 7 baada ya kukuta barua aloabdika kwenye koti lake ndani ya beg
 
Wasalaam wanabodi.......

Tukio moja limetokea kijijini kwetu wananchi wamemtimua kwa mapanaga mtumishi wa serikali(mwalimu was kiume) kwa tuhuma za kufanya mapenzi na wake zao kiuchawi. Jamaa kahamishiwa kituo kingine.

Maswali nnayojiuliza ni mbinu gani wanatumia kukuamsha hisia ilhali wewe umelala pia hakuna uwezekano wa mtu kumwambukiza magonjwa ya zinaa? Msaada tafadhali
Ni nyanda za juu kusini au???
 
bado nasubili mwenye hiyo dawa nikiipata nampa laki 2 au tutaelewane niko srius
 
Hizii pombe mnazotumia zitawauwaa..

Mnataka kutuaminisha huyo jamaa anakula wake za watu stile ya mungu alivyomla maria kitakatifutakatifuu..
 
Hizii pombe mnazotumia zitawauwaa..
Mnataka kutuaminisha huyo jamaa anakula wake za watu stile ya mungu alivyomla maria kitakatifutakatifuu..
Jamaa aombi ni kama Muddy alivyokabaka kabinti ka miaka 9. Ingekuwa sasa Mudy miaka 30 jela inamhusu. Haya mambo ni hatari sana
 
Wakuu hiyo ipo sana mbeya ndo michezo yao hiyo unakuta mdada anaweza akawa amekaa au anachagua nguo huko dox sokoni anajikuta kachafuka kumbe asha mwagiwa....
 
Back
Top Bottom