Baadhi ya nchi za Uarabuni zimekuwa zikihusika katika mazungumzo ya amani katika migogoro mbalimbali ya kimataifa mfano Qatar.
Kwa mfano, Tshisekedi na Kagame walikuwa wanakimbiana kuanzia Dar, Angola, lakini wamekubali kukutana huko Qatar na kukubali kusitisha mapigano bila masharti. Si hiyo tu, mazungumzo ya amani ya nchi mbalimbali yameishawahi kufanyika Qatar mfa Palestina, Lebanon, nk.
Pia, katika mgogoro wa Ukraini, mazungumzo kati ya maafisa wa USA na Urusi, na Ukrain na USA yalifanyika uarabuni-Saudi Arabia.
Soma Pia: Hatimaye Tshisekedi na Kagame wakutana Qatar kujadili mzozo wa M23, wakubaliana kumaliza Vita DRC
Mchambuzi mmoja katika BBC Swahili kasema Qatar imekuwa ni nchi ambayo inajiweka kati, yaani haiegemei upande wowote, hivyo wagombanao wakiitwa Qatar chapu wanaenda mana wanajua wote watasikilizwa.
Heshima wanayoipata Qatar, na sisi TZ tuirudishe kama enzi zile za nchi zisizofungamana na upande wowote (Non-aligned movement) mpaka mazungumzo ya amani ya Burundi yakafanikiwa hapa Dar es Salaam.
Kwa mfano, Tshisekedi na Kagame walikuwa wanakimbiana kuanzia Dar, Angola, lakini wamekubali kukutana huko Qatar na kukubali kusitisha mapigano bila masharti. Si hiyo tu, mazungumzo ya amani ya nchi mbalimbali yameishawahi kufanyika Qatar mfa Palestina, Lebanon, nk.
Pia, katika mgogoro wa Ukraini, mazungumzo kati ya maafisa wa USA na Urusi, na Ukrain na USA yalifanyika uarabuni-Saudi Arabia.
Soma Pia: Hatimaye Tshisekedi na Kagame wakutana Qatar kujadili mzozo wa M23, wakubaliana kumaliza Vita DRC
Mchambuzi mmoja katika BBC Swahili kasema Qatar imekuwa ni nchi ambayo inajiweka kati, yaani haiegemei upande wowote, hivyo wagombanao wakiitwa Qatar chapu wanaenda mana wanajua wote watasikilizwa.
Heshima wanayoipata Qatar, na sisi TZ tuirudishe kama enzi zile za nchi zisizofungamana na upande wowote (Non-aligned movement) mpaka mazungumzo ya amani ya Burundi yakafanikiwa hapa Dar es Salaam.