Ninajifanyia mwenyewe kwakweliNa wanaume wanaokufanyia shopping wewe ni akina nani
ahaha nyie wachokoziAnasumbuliwa na tumbo la kuendesha ndiyo mana anachelewa!
Mwanangu we hunitakii mema.Si unajua hawa watu usipowatilia maanani humo ndani hakukaliki ? Yeye ndo inabidi apewe attention yote ile,maana ukiwaudhi humo ndani wala hapakaliki. Akukubaini umezuga kwenda naye huko madukani kwa sababu ya kitu kama mpira si unajua tena vituko vyake hapo. Inabidi ukomae tu uende naye,ila na wewe ukimtaim unaanza kusingizia ugonjwa siku kadhaa kabla.Kila siku tumbo limechafuka inabidi ukae karibu na chooni,kumbe we una mahesabu na mpira.Unapaswa uwe na muda wa kutosha, lkn kama una ratiba nyingine za muhimu ni bora usiende shopping siku hiyo
We nizomee tu
Kufanya shopping na mwanamke yataka moyo.Unaweza kununua DUKA ZIMA
Umuhimu wake nini? Kuharakishwa awahi wapi sijui, aku I need time kwa raha zangu polepole, napita kila chocho naulizia kila kitu ( hata Kama sinunui)Kwa sbb huoni umuhimu wa kuwa na Mr kando katika hiyo shopping binafsi au unahisi utamsumbua
Hata huko mitumbani pia...Umuhimu wake nini? Kuharakishwa awahi wapi sijui, aku I need time kwa raha zangu polepole, napita kila chocho naulizia kila kitu ( hata Kama sinunui)
Wengine tunaendaga mitumbani besti. . wa splash, Mr price, max ndio wabebane na mabeibi

Hata huko mitumbani pia...
Au ukiwa nae huwezi punguziwa bei?![]()
![]()




wauzaji wanakomaaga bei bhana. . Afu unajua process ya kubargain anaweza akakereka, maana sa zngne mpka unaondoka afu unarudi ndio unanunuaumeonaehKufanya shopping na mwanamke yataka moyo.Unaweza kununua DUKA ZIMA
mmh!Wanaume ninaowafanyia shopping ni baba na kaka zangu