mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 465
- 617
- Thread starter
- #41
Sema hapo kwenye ku bargain ndio huwa nawakubali wanawake...wauzaji wanakomaaga bei bhana. . Afu unajua process ya kubargain anaweza akakereka, maana sa zngne mpka unaondoka afu unarudi ndio unanunua
Na wakikuona muuzaji umekaa ki [HASHTAG]#danga[/HASHTAG] danga ndo usiseme, utalegezewa mimacho wee mpaka upunguze bei. Na ndio maana mnataka kwenda wenyewe hasa huko kwenye mitumba
